-
Corona yawakatizia masomo watoto milioni 127 mashariki na kusini mwa Afrika
May 05, 2020 03:36Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema janga la corona limewakatizia masomo mamilioni ya watoto katika maeneo ya mashariki na kusini mwa Afrika.
-
Kesi za Corona zilizoripotiwa Afrika hadi sasa zapindukia 40,000
May 02, 2020 22:40Idadi ya kesi za ugonjwa wa Covid-19 (Corona) zilizothibitishwa katika nchi za Afrika kufikia jana Jumamosi imepindukia 40,000, kutoka 39,018 iliyoripotiwa Ijumaa.
-
WHO: Malaria inaua watu wengi zaidi ya Corona barani Afrika
Apr 27, 2020 22:16Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema ugonjwa wa malaria ungali tishio kubwa linalowaathiri mamilioni ya watu kila mwaka katika nchi za Afrika kuliko ugonjwa wa Covid-19.
-
de Souza: Sera ya Marekani kuhusu Afrika ni kupunguza jamii ya Waafrika
Apr 26, 2020 20:11Mtaalamu wa masuala ya jamii wa Marekani amefichua kuwa, siasa za nje za serikali mbalimbali za Marekani kuhusuana na Afrika zinalenga kupunguza jamii ya watu wa bara hilo.
-
Rais wa Afrika Kusini na Mwenyekiti wa AU awatumia Waislamu Salamu za Ramadhani
Apr 25, 2020 06:29Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amewatumia Waislamu salamu kwa mnasba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Afisa mmoja wa ubalozi wa Marekani ashambuliwa kwa risasi mjini Khartoum Sudan
Apr 24, 2020 02:38Ubalozi wa Marekani nchini Sudan umetangaza kuwa, afisa mmoja wa ubalozi huo amesalimika kifo baada ya kushambuliwa kwa risasi mjini Kharotum.
-
Vifo vya corona vyaongezeka kwa asilimia 38 barani Afrika
Apr 23, 2020 22:15Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, vifo vinavyotokana na ugonjwa wa COVID-19 vimeongezeka kwa asilimia 38 barani Afrika.
-
SADC yasikitishwa na ongezeko la dhulma za kijinsia wakati huu wa Corona
Apr 23, 2020 10:19Jumuia ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa mwito wa kuwepo jitihada na ushirikiano wa pamoja wa kukabiliana na ongezeko la dhulma za kijinsia barani Afrika, wakati huu wa janga la Corona.
-
WHO yatahadharisha tena kuhusu maafa ya corona Afrika, Morocco yarefusha muda wa karantini
Apr 19, 2020 22:04Kwa mara nyingine tena Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu janga la corona barani Afrika na kusema kuwa, bara hilo linasubiri kushuhudia maafa makubwa ya COVID-19.
-
Maambukizi ya Corona Afrika; kuongezeka vifo na umaskini
Apr 18, 2020 22:03Maambukizi ya maradhi ya corona barani Afrika yamezidisha wasiwasi kuhusu hali ya afya na matibabu na vile vile hali ya kiuchumi ya nchi mbalimbali za bara hilo. Katika uwanja huo, Kamisheni ya Kiuchumi ya Afrika yenye mfungamano na Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuaga dunia zaidi ya watu 300,000 kutokana na maambukizi ya corona katika bara hilo.