-
Waliothibitishwa kuambukizwa Corona Afrika wapindukia 10,000
Apr 09, 2020 06:56Watu wengine 535 wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya corona barani Afrika na kuifanya idadi ya watu wenye ugonjwa wa COVID-19 katika nchi 52 za bara hilo kufikia 10,692.
-
Raia weusi wanaathiriwa kwa wingi na corona Marekani huku UN ikionya kuhusu ubaguzi katika utoaji huduma
Apr 07, 2020 10:27Takwimu za majimbo mbali mbali nchini Marekani zinaonyesha kuwa jamii za raia weusi wenye asili ya Afrika ndizo zinazoathiriwa kwa wingi na maambukizo ya virusi vya corona.
-
WHO: Afrika haitakuwa uwanja wa kufanyia majaribio chanjo ya corona
Apr 07, 2020 03:14Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amekosoa vikali matamshi ya kibaguzi ya madaktari wawili wa Ufaransa waliopendekeza kufanyia majaribio chanjo ya corona barani Afrika.
-
Rais wa Kenya aamuru kusitishwa harakati zote Nairobi, Mombasa na kaunti kadhaa kwa hofu ya corona
Apr 06, 2020 11:54Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua mpya zinazolenga kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19, ambao hadi sasa umewapata watu 158 na kuchukua roho za wagonjwa sita.
-
Wananchi wakosoa mpango wa kufanyia majaribio chanjo ya corona DRC
Apr 05, 2020 03:42Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekosoa vikali mpango wa kufanyia majaribio chanjo ya corona nchini humo ambao serikali imeafiki.
-
Watu 29 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria
Apr 04, 2020 03:19Kwa akali watu 29 wameuawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
WHO: Zaidi ya watu 2,600 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika
Mar 29, 2020 04:31Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa idadi ya watu walioathiriwa na virusi vya corona barani Afrika imepita watu 2,600.
-
Mawaziri 4 Burkina Faso wapatwa na corona, idadi ya waathirika Afrika yaongezeka
Mar 21, 2020 07:23Mawaziri wanne wa serikali ya Burkina Faso wamepatwa na virusi vya corona huku kesi za maambukizi ya virusi hivyo barani Afrika zikiendelea kuongezeka.
-
Burkina Faso yaripoti kifo cha kwanza cha Corona 'Sub-Sahara', virusi hivyo vyaua karibu 500 Italia ndani ya saa 24
Mar 19, 2020 00:08Burkina Faso imetangaza kifo cha kwanza cha mtu aliyekuwa na ugonjwa wa Corona nchini humo, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya kifo kilichotokana na ugonjwa huo kuripotiwa katika eneo la chini ya jangwa la Sahara barani Afrika.
-
Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika
Feb 28, 2020 04:49Mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.