-
Nchi 8 za magharibi mwa Afrika zaachana na matumizi ya sarafu ya Ufaransa
Dec 23, 2019 10:25Nchi nane wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Magharibi mwa Afrika (Ecowas) zimejitoa katika muungano wa sarafu ya pamoja ya Ufaransa (Franc).
-
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiri, ukoloni umekufa
Dec 23, 2019 09:17Mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima uimekuwa ya kikoloni na kuwanyonya watu wa bara hilo na wakati huo huo kukandamiza harakati za wapigania uhuru.
-
Maeneo yanayozungumza Kiingereza Cameroon yapata hadhi maalumu
Dec 21, 2019 21:44Bunge la Cameroon limeafiki kuwa maeneo yanayozungumza Kiingereza nchini humo yapewe hadhi maalumu katika hatua inayolenga kutuliza uasi wa wanaotaka kujitenga.
-
Mawaziri wa Ulinzi wa nchi za Afrika wakutana kujadili usalama na amani ya bara
Dec 18, 2019 23:03Mawaziri wa Usalama na maafisa wengine wa ngazi za juu wa usalama wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanatazamiwa kukutana leo Alkhamisi kujadili masuala ya amani na changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo.
-
Kashfa ya maziwa ghushi ya Ulaya barani Afrika, yafichuliwa
Dec 17, 2019 03:07Jumuiya tano za Ulaya na wazalishaji maziwa wa Afrika wamefichua kwamba, viwanda vya maziwa vya Ulaya vinatengeneza maziwa ghushi ya unga yaliyotayarishwa kwa kutumia mafuta ya mawese na kuyauza barani Afrika.
-
Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki
Dec 07, 2019 00:34Mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki katika kipindi cha miezi miwili iliyopita zimeuwa watu wasiopungua 265.
-
Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya
Nov 23, 2019 04:26Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.
-
AU: Jamii ya kimataifa ichangie ustawi wa viwanda Afrika
Nov 17, 2019 04:09Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwa na mchango endelevu na amilifu katika ustawi wa viwanda katika nchi za Afrika.
-
Rais wa Guinea amfuta kazi Waziri wa Usalama baada ya mauaji ya waandamanaji
Nov 12, 2019 23:03Rais Alpha Conde wa Guinea Conakry amemfuta kazi Waziri wa Usalama wa nchi hiyo kufuatia mauaji ya waandamanaji wanaopinga mpango wa kiongozi huyo wa kutaka kubadili katiba ya nchi ili aweze kugombea kiti cha rais wa kwa muhula wa tatu mfululizo.
-
Chama tawala Botswana chashinda uchaguzi mkuu
Oct 25, 2019 06:37Chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP) kimeshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo baada ya kupata viti 29 vya Bunge ambavyo ni sawa na asilimia 51 ya kura.