Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Mamia waandamana Guinea Conakry dhidi ya Rais wa nchi hiyo

    Mamia waandamana Guinea Conakry dhidi ya Rais wa nchi hiyo

    Oct 24, 2019 23:20

    Maelfu ya wananchi wa Guinea Conakry wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo katika fremu ya upinzani dhidi ya mpango wa rais Alpha Conde wa nchi hiyo wa kutaka kugombea nafasi hiyo kwa mara ya tatu mfululizo.

  • Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika

    Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika

    Oct 23, 2019 23:18

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi yake na nchi za bara Afrika.

  • Badala ya ubabe na unyonyaji wa Magharibi, Russia yataka kuamiliana na Afrika kwa msingi wa maslahi ya pande mbili

    Badala ya ubabe na unyonyaji wa Magharibi, Russia yataka kuamiliana na Afrika kwa msingi wa maslahi ya pande mbili

    Oct 23, 2019 03:14

    Russia, ambayo ni moja ya madola makubwa duniani imeukosoa muelekeo na muamala wa Magharibi kwa bara la Afrika ambao siku zote huwa ni wa unyonyaji na utumiaji mabavu na badala yake inataka kustawisha uhusiano wake na nchi za bara hilo kwa msingi wa kuzingatia manufaa na maslahi ya pande zote mbili.

  • AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR

    AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR

    Oct 22, 2019 04:28

    Umoja wa Afrika umesema idadi ya watu walioaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa homa hatari ya Ebola imefikia 2,150 tangu maradhi hayo yaripuke tena katika nchi hiyo Julai mwaka jana.

  • Kesi ya rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma yaendelea

    Kesi ya rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma yaendelea

    Oct 15, 2019 10:00

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema atakata rufaa kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kukataa kuzuia daima mashtaka dhidi yake katika kesi ya ufisadi katika mauzo ya silaha zilizokuwa na thamani ya dola bilioni mbili.

  • Kanisa la Methodist Afrika lajiunga na harakati ya kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni

    Kanisa la Methodist Afrika lajiunga na harakati ya kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni

    Oct 12, 2019 08:45

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa Palestina ametangaza kuwa Kanisa la Methodist la Kusini mwa Afrika (MCSA) limejiunga na Harakati ya Kimataifa ya Kususia na Kuiwekea Vikwazo Israel- Boycott, Divestment and Sanctions- (BDS), kutokana na jinai za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

  • AU: Utamaduni wa kusoma uimarishwe katika nchi za Afrika

    AU: Utamaduni wa kusoma uimarishwe katika nchi za Afrika

    Sep 22, 2019 04:04

    Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kufanywa kampeni ya kuhimiza utamaduni wa kusoma miongoni mwa vijana katika nchi za Afrika.

  • AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    Sep 17, 2019 22:09

    Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).

  • Juhudi za Afrika kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Juhudi za Afrika kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Sep 15, 2019 22:05

    Kufuatia kuongezeka mashambulizi ya ugaidi katika nchi za Kiafrika, hususan eneo la Sahel, viongozi wa eneo la magharibi mwa bara hilo, wametenga kiasi cha Dola bilioni moja kwa ajili ya kukabiliana na tishio linaloongezeka la harakati za makundi yenye kufurutu ada katika eneo.

  • Nchi za magharibi mwa Afrika kuchangishana fedha za kupambana na ugaidi

    Nchi za magharibi mwa Afrika kuchangishana fedha za kupambana na ugaidi

    Sep 15, 2019 07:47

    Nchi za Magharibi mwa Afrika zimefikia uamuzi wa kuchingashana fedha na kuwa na mfuko maalumu wenye akiba ya dola bilioni moja kwa ajili ya kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS