-
Kongamano la 5 la Uwekezaji Afrika lafanyika Congo Brazaville
Sep 11, 2019 23:35Kongamano la 5 la uwekezaji barani Afrika linamalizika leo Alhamisi huko Brazzaville, Jamhuri ya Kongo, ambapo washiriki wameangazia kwa kina ushirikiano wa uchumi anuwai na utoaji wa nafasi za ajira kwenye uchumi wa Afrika.
-
Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka
Sep 05, 2019 21:58Watu waliookoka baada ya kutibiwa ugonjwa hatari wa Ebola wako katika hatari kubwa ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya figo baada ya kupitisha mwaka mmoja tangu wanapotoka hospitalini. Taarifa hiyo ilitolewa jana Alkhamisi baada ya kufanyiwa uchunguzi watu hao nchini Guinea.
-
Bunge la Ethiopia lapasisha sheria mpya ya uchaguzi
Aug 24, 2019 22:06Wabunge wa Ethiopia, jana Jumamosi, Agosti 24, 2019 walipasisha sheria mpya ya uchaguzi katika kipindi hiki ambacho uchaguzi mkuu nchini humo unatarajiwa sana kufanyika mwakani, 2020.
-
Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri
Jul 24, 2019 22:10Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.
-
Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi barani Afrika
Jul 12, 2019 20:41Kupanuka kwa harakati za makundi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya Afrika kumezusha wasiwasi na hofu si baina ya viongozi wa nchi za bara hilo pekee bali hata wa taasisia za kimataifa.
-
AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 11, 2019 21:57Mjumbe wa Umoja wa Afrika ametoa mwito wa kushirikishwa vijana barabara katika mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4
Jul 08, 2019 03:41Uchumi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) unatazamiwa kuimarika na kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4.
-
Nchi za Afrika Magharibi kuzindua sarafu ya pamoja itakayoitwa 'ECO'
Jun 30, 2019 03:17Nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeafikiana kuiita sarafu mpya itakayotumiwa na nchi hizo 'ECO'.
-
Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lakutana Morocco
Jun 25, 2019 08:30Mkutano wa 12 wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika unaendelea mjini Skhirat nchini Morocco.
-
Mgombea wa chama tawala ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Mauritania
Jun 23, 2019 09:11Mgombea urais wa chama tawala nchini Mauritania Mohammad Ould Ghazouani amejitangaza mshindi katika uchaguzi huo uliofanyika jana.