-
Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki
Dec 07, 2019 00:34Mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki katika kipindi cha miezi miwili iliyopita zimeuwa watu wasiopungua 265.
-
Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya
Nov 23, 2019 04:26Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.
-
AU: Jamii ya kimataifa ichangie ustawi wa viwanda Afrika
Nov 17, 2019 04:09Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwa na mchango endelevu na amilifu katika ustawi wa viwanda katika nchi za Afrika.
-
Rais wa Guinea amfuta kazi Waziri wa Usalama baada ya mauaji ya waandamanaji
Nov 12, 2019 23:03Rais Alpha Conde wa Guinea Conakry amemfuta kazi Waziri wa Usalama wa nchi hiyo kufuatia mauaji ya waandamanaji wanaopinga mpango wa kiongozi huyo wa kutaka kubadili katiba ya nchi ili aweze kugombea kiti cha rais wa kwa muhula wa tatu mfululizo.
-
Chama tawala Botswana chashinda uchaguzi mkuu
Oct 25, 2019 06:37Chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP) kimeshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo baada ya kupata viti 29 vya Bunge ambavyo ni sawa na asilimia 51 ya kura.
-
Mamia waandamana Guinea Conakry dhidi ya Rais wa nchi hiyo
Oct 24, 2019 23:20Maelfu ya wananchi wa Guinea Conakry wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo katika fremu ya upinzani dhidi ya mpango wa rais Alpha Conde wa nchi hiyo wa kutaka kugombea nafasi hiyo kwa mara ya tatu mfululizo.
-
Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika
Oct 23, 2019 23:18Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi yake na nchi za bara Afrika.
-
Badala ya ubabe na unyonyaji wa Magharibi, Russia yataka kuamiliana na Afrika kwa msingi wa maslahi ya pande mbili
Oct 23, 2019 03:14Russia, ambayo ni moja ya madola makubwa duniani imeukosoa muelekeo na muamala wa Magharibi kwa bara la Afrika ambao siku zote huwa ni wa unyonyaji na utumiaji mabavu na badala yake inataka kustawisha uhusiano wake na nchi za bara hilo kwa msingi wa kuzingatia manufaa na maslahi ya pande zote mbili.
-
AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR
Oct 22, 2019 04:28Umoja wa Afrika umesema idadi ya watu walioaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa homa hatari ya Ebola imefikia 2,150 tangu maradhi hayo yaripuke tena katika nchi hiyo Julai mwaka jana.
-
Kesi ya rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma yaendelea
Oct 15, 2019 10:00Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema atakata rufaa kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kukataa kuzuia daima mashtaka dhidi yake katika kesi ya ufisadi katika mauzo ya silaha zilizokuwa na thamani ya dola bilioni mbili.