Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kongamano la 5 la Uwekezaji Afrika lafanyika Congo Brazaville

    Kongamano la 5 la Uwekezaji Afrika lafanyika Congo Brazaville

    Sep 11, 2019 23:35

    Kongamano la 5 la uwekezaji barani Afrika linamalizika leo Alhamisi huko Brazzaville, Jamhuri ya Kongo, ambapo washiriki wameangazia kwa kina ushirikiano wa uchumi anuwai na utoaji wa nafasi za ajira kwenye uchumi wa Afrika.

  • Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka

    Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka

    Sep 05, 2019 21:58

    Watu waliookoka baada ya kutibiwa ugonjwa hatari wa Ebola wako katika hatari kubwa ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya figo baada ya kupitisha mwaka mmoja tangu wanapotoka hospitalini. Taarifa hiyo ilitolewa jana Alkhamisi baada ya kufanyiwa uchunguzi watu hao nchini Guinea.

  • Bunge la Ethiopia lapasisha sheria mpya ya uchaguzi

    Bunge la Ethiopia lapasisha sheria mpya ya uchaguzi

    Aug 24, 2019 22:06

    Wabunge wa Ethiopia, jana Jumamosi, Agosti 24, 2019 walipasisha sheria mpya ya uchaguzi katika kipindi hiki ambacho uchaguzi mkuu nchini humo unatarajiwa sana kufanyika mwakani, 2020.

  • Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Jul 24, 2019 22:10

    Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi barani Afrika

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi barani Afrika

    Jul 12, 2019 20:41

    Kupanuka kwa harakati za makundi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya Afrika kumezusha wasiwasi na hofu si baina ya viongozi wa nchi za bara hilo pekee bali hata wa taasisia za kimataifa.

  • AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi

    AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 11, 2019 21:57

    Mjumbe wa Umoja wa Afrika ametoa mwito wa kushirikishwa vijana barabara katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Jul 08, 2019 03:41

    Uchumi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) unatazamiwa kuimarika na kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4.

  • Nchi za Afrika Magharibi kuzindua sarafu ya pamoja itakayoitwa 'ECO'

    Nchi za Afrika Magharibi kuzindua sarafu ya pamoja itakayoitwa 'ECO'

    Jun 30, 2019 03:17

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeafikiana kuiita sarafu mpya itakayotumiwa na nchi hizo 'ECO'.

  • Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lakutana Morocco

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lakutana Morocco

    Jun 25, 2019 08:30

    Mkutano wa 12 wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika unaendelea mjini Skhirat nchini Morocco.

  • Mgombea wa chama tawala ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Mauritania

    Mgombea wa chama tawala ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Mauritania

    Jun 23, 2019 09:11

    Mgombea urais wa chama tawala nchini Mauritania Mohammad Ould Ghazouani amejitangaza mshindi katika uchaguzi huo uliofanyika jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS