Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Jun 17, 2019 08:28

    Rais Cyril Ramaphosa amesema Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa ukosefu wa ajira miongoni mwa tabaka la vijana.

  • Aghalabu ya nchi za Afrika haziungi mkono ubaradhuli

    Aghalabu ya nchi za Afrika haziungi mkono ubaradhuli

    Jun 10, 2019 03:24

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema zaidi ya nusu ya nchi za eneo la chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika haziungi mkono ubaradhuli na uhusiano wa watu wa jinsia moja.

  • Ufaransa yafanya njama za kuhalalisha siasa zake zilizofeli barani Afrika

    Ufaransa yafanya njama za kuhalalisha siasa zake zilizofeli barani Afrika

    May 29, 2019 06:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa, nchi za eneo la Sahel Africa zisikae muda wote kusubiri msaada wa wanajeshi wa Ufaransa.

  • WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    May 29, 2019 03:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.

  • Umoja wa Mataifa walaani hujuma kanisani Burkina Faso

    Umoja wa Mataifa walaani hujuma kanisani Burkina Faso

    May 13, 2019 23:47

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio lililofanyika Jumapili kwenye kanisa Katoliki Kaskazini mwa Burkina Faso ambalo limepelekea watu sita wapoteze maisa.

  • Yoweri Museveni ataka viongozi wa

    Yoweri Museveni ataka viongozi wa "maisha" watawale Afrika, wapinzani wapinga

    May 13, 2019 09:58

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka mataifa ya Afrika yaondoe sheria zinazowazuia viongozi wenye umri mkubwa na waiotawala muda mrefu kuwania urais katika nchi zao. Ametoa mwito huo mwezi mmoja baada ya Mahakama ya Juu nchini Uganda kuunga mkono hatua ya bunge la nchi hiyo ya kuondoa ukomo wa kuwania urais nchini humo, ili kumpa nafasi Museveni ya kuendelea kuwa rais.

  • Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao wa kiulinzi

    Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao wa kiulinzi

    May 06, 2019 06:35

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimetoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa muda mrefu wa kiulinzi na kijeshi baina yao.

  • Viongozi wa dunia washiriki Kongamano la Barabara ya Hariri, China; Marekani yatengwa

    Viongozi wa dunia washiriki Kongamano la Barabara ya Hariri, China; Marekani yatengwa

    Apr 27, 2019 03:08

    Zaidi ya viongozi 40 na wajumbe elfu tano kutoka nchi mbalimbali duniani wanakongamana katika Mkutano wa "Ukanda Mmoja na Njia Moja" katika mji mkuu wa China, Beijing uliong'oa nanga hapo jana.

  • IOM: Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa soka Yemen

    IOM: Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa soka Yemen

    Apr 26, 2019 09:56

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa mpira wa miguu katika mji wa Aden kusini mwa Yemen ambao unadhibitiwa na vikosi vya Imarati (UAE) na Saudi Arabia.

  • Reuters: Marekani na Ulaya 'zinaiba dhahabu Afrika' kupitia Imarati

    Reuters: Marekani na Ulaya 'zinaiba dhahabu Afrika' kupitia Imarati

    Apr 24, 2019 23:50

    Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la Reuters umefichua kuwa, tani za dhahabu zenye thamani ya mabilioni ya dola zinasafirishwa kila mwaka kwa njia za magendo kutoka Afrika kuelekea Marekani na nchi za Ulaya, huku Umoja wa Falme za Kiarabu ukitajwa kuwa lango kuu la biashara hiyo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS