Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ukimwi unaua Waethiopia 16,000 kila mwaka

    Ukimwi unaua Waethiopia 16,000 kila mwaka

    Mar 28, 2019 03:29

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa Waethiopia zaidi ya elfu 16 wanafariki kila mwaka kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.

  • Kesi za kipindupindu zaripotiwa huku baa la njaa, maradhi yakiwanyemelea manusura wa kimbunga Afrika

    Kesi za kipindupindu zaripotiwa huku baa la njaa, maradhi yakiwanyemelea manusura wa kimbunga Afrika

    Mar 23, 2019 03:11

    Kesi kadhaa za watu waliokumbwa na ugonjwa wa kipindupindu zimeripotiwa katika mji wa Beira nchini Msumbiji, hivyo kuzidisha uwezekano wa ugonjwa huo hatari kuwakumba mamia ya maelfu ya watu wanaotaabika kutafuta hifadhi, chakula na maji kufuatia mafuriko ya gharika yaliyosababishwa na kimbunga cha Idai.

  • Idadi ya waliokufa katika kimbunga cha Idai kusini mwa Afrika yafikia watu 215

    Idadi ya waliokufa katika kimbunga cha Idai kusini mwa Afrika yafikia watu 215

    Mar 18, 2019 11:03

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na kimbunga cha Idai kilichopiga katikati ya Msumbiji wiki iliyopita imeshafikia 215. Kimbunga hicho kimefika pia Zimbabwe na Malawi na kusababisha mafuriko na uharibifu mkubwa.

  • Afrika yataka kupanua ushirikiano wa kielimu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Afrika yataka kupanua ushirikiano wa kielimu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mar 11, 2019 13:21

    Kamishna wa Umoja wa Afrika Anayeshughulikia Rasilimali Watu, Sayansi na Teknolojia amesema kuna haja ya kuweko ushirikiano wa kieliimu na Iran katika sekta ya teknolojia ya Nano, sayansi ya mazingira, teknolojia ya mawasiliano, kozi za stadi, ajira na uboreshaji wa kiwango cha elimu.

  • Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Mar 09, 2019 08:17

    Kamati ya Tisa ya Kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini imefanya kikao nchini Afrika Kusini na kuhudhuriwa na Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Bi Reginah Mhaule, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Anayehusika na Masuala ya Ushirikiano na Uhusiano wa Kimataifa.

  • Afisa wa Misri: Utawala wa Israel unalenga kuigawa Afrika vipande vipande

    Afisa wa Misri: Utawala wa Israel unalenga kuigawa Afrika vipande vipande

    Feb 26, 2019 11:48

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa unafuatilia njama ya kuzigawa vipande vipande nchi za Afrika.

  • Afrika yaongoza katika orodha ya nchi 10 hatari zaidi kwa watoto duniani

    Afrika yaongoza katika orodha ya nchi 10 hatari zaidi kwa watoto duniani

    Feb 15, 2019 21:58

    Shirika la kutetea haki za watoto duniani la Save the Children limeziweka nchi 6 za Afrika katika orodha ya nchi 10 ambazo ni hatari sana kwa watoto duniani.

  • Rais wa Ivory Coast ataka haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 nchini humo

    Rais wa Ivory Coast ataka haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 nchini humo

    Feb 11, 2019 10:14

    Rais Alassane Ouattara wa Kodivaa amesema kuwa lazima haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 yaliyotokea nchini humo mwaka 2010 baada ya rais wa wakati huo Laurent Gbagbo kung'ang'ania madaraka na kukataa kuheshimu kura za wananchi.

  • HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    Feb 06, 2019 11:55

    Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.

  • Kinara wa kambi ya upinzani Cameroon atiwa nguvuni

    Kinara wa kambi ya upinzani Cameroon atiwa nguvuni

    Jan 29, 2019 04:50

    Vyombo vya usalama vya Cameroon vimemtia nguvuni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani baada ya maandamano ya mwishoni mwa wiki iliyopita yaliyotawanywa na askari usalama kwa kutumia risasi za moto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS