Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi

    AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 11, 2019 21:57

    Mjumbe wa Umoja wa Afrika ametoa mwito wa kushirikishwa vijana barabara katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Jul 08, 2019 03:41

    Uchumi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) unatazamiwa kuimarika na kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4.

  • Nchi za Afrika Magharibi kuzindua sarafu ya pamoja itakayoitwa 'ECO'

    Nchi za Afrika Magharibi kuzindua sarafu ya pamoja itakayoitwa 'ECO'

    Jun 30, 2019 03:17

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeafikiana kuiita sarafu mpya itakayotumiwa na nchi hizo 'ECO'.

  • Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lakutana Morocco

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lakutana Morocco

    Jun 25, 2019 08:30

    Mkutano wa 12 wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika unaendelea mjini Skhirat nchini Morocco.

  • Mgombea wa chama tawala ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Mauritania

    Mgombea wa chama tawala ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Mauritania

    Jun 23, 2019 09:11

    Mgombea urais wa chama tawala nchini Mauritania Mohammad Ould Ghazouani amejitangaza mshindi katika uchaguzi huo uliofanyika jana.

  • Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Jun 17, 2019 08:28

    Rais Cyril Ramaphosa amesema Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa ukosefu wa ajira miongoni mwa tabaka la vijana.

  • Aghalabu ya nchi za Afrika haziungi mkono ubaradhuli

    Aghalabu ya nchi za Afrika haziungi mkono ubaradhuli

    Jun 10, 2019 03:24

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema zaidi ya nusu ya nchi za eneo la chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika haziungi mkono ubaradhuli na uhusiano wa watu wa jinsia moja.

  • Ufaransa yafanya njama za kuhalalisha siasa zake zilizofeli barani Afrika

    Ufaransa yafanya njama za kuhalalisha siasa zake zilizofeli barani Afrika

    May 29, 2019 06:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa, nchi za eneo la Sahel Africa zisikae muda wote kusubiri msaada wa wanajeshi wa Ufaransa.

  • WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    May 29, 2019 03:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.

  • Umoja wa Mataifa walaani hujuma kanisani Burkina Faso

    Umoja wa Mataifa walaani hujuma kanisani Burkina Faso

    May 13, 2019 23:47

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio lililofanyika Jumapili kwenye kanisa Katoliki Kaskazini mwa Burkina Faso ambalo limepelekea watu sita wapoteze maisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS