-
Ukimwi unaua Waethiopia 16,000 kila mwaka
Mar 28, 2019 03:29Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa Waethiopia zaidi ya elfu 16 wanafariki kila mwaka kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.
-
Kesi za kipindupindu zaripotiwa huku baa la njaa, maradhi yakiwanyemelea manusura wa kimbunga Afrika
Mar 23, 2019 03:11Kesi kadhaa za watu waliokumbwa na ugonjwa wa kipindupindu zimeripotiwa katika mji wa Beira nchini Msumbiji, hivyo kuzidisha uwezekano wa ugonjwa huo hatari kuwakumba mamia ya maelfu ya watu wanaotaabika kutafuta hifadhi, chakula na maji kufuatia mafuriko ya gharika yaliyosababishwa na kimbunga cha Idai.
-
Idadi ya waliokufa katika kimbunga cha Idai kusini mwa Afrika yafikia watu 215
Mar 18, 2019 11:03Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na kimbunga cha Idai kilichopiga katikati ya Msumbiji wiki iliyopita imeshafikia 215. Kimbunga hicho kimefika pia Zimbabwe na Malawi na kusababisha mafuriko na uharibifu mkubwa.
-
Afrika yataka kupanua ushirikiano wa kielimu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mar 11, 2019 13:21Kamishna wa Umoja wa Afrika Anayeshughulikia Rasilimali Watu, Sayansi na Teknolojia amesema kuna haja ya kuweko ushirikiano wa kieliimu na Iran katika sekta ya teknolojia ya Nano, sayansi ya mazingira, teknolojia ya mawasiliano, kozi za stadi, ajira na uboreshaji wa kiwango cha elimu.
-
Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi
Mar 09, 2019 08:17Kamati ya Tisa ya Kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini imefanya kikao nchini Afrika Kusini na kuhudhuriwa na Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Bi Reginah Mhaule, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Anayehusika na Masuala ya Ushirikiano na Uhusiano wa Kimataifa.
-
Afisa wa Misri: Utawala wa Israel unalenga kuigawa Afrika vipande vipande
Feb 26, 2019 11:48Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa unafuatilia njama ya kuzigawa vipande vipande nchi za Afrika.
-
Afrika yaongoza katika orodha ya nchi 10 hatari zaidi kwa watoto duniani
Feb 15, 2019 21:58Shirika la kutetea haki za watoto duniani la Save the Children limeziweka nchi 6 za Afrika katika orodha ya nchi 10 ambazo ni hatari sana kwa watoto duniani.
-
Rais wa Ivory Coast ataka haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 nchini humo
Feb 11, 2019 10:14Rais Alassane Ouattara wa Kodivaa amesema kuwa lazima haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 yaliyotokea nchini humo mwaka 2010 baada ya rais wa wakati huo Laurent Gbagbo kung'ang'ania madaraka na kukataa kuheshimu kura za wananchi.
-
HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao
Feb 06, 2019 11:55Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.
-
Kinara wa kambi ya upinzani Cameroon atiwa nguvuni
Jan 29, 2019 04:50Vyombo vya usalama vya Cameroon vimemtia nguvuni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani baada ya maandamano ya mwishoni mwa wiki iliyopita yaliyotawanywa na askari usalama kwa kutumia risasi za moto.