Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Nchi za Afrika kuanzisha mkakati wa kuendeleza ulinzi wa mtoto

    Nchi za Afrika kuanzisha mkakati wa kuendeleza ulinzi wa mtoto

    Jan 22, 2019 23:17

    Maofisa wanaohusika na ulinzi wa mtoto kutoka nchi na maeneo 27 watakutana nchini Namibia kwa mara ya kwanza kujadili mikakati ya sasa na ya baadaye ya kuanzisha ulinzi wa mtoto kwa ajili ya ofisi ya kikanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, ESAF.

  • Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)

    Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)

    Jan 08, 2019 10:30

    Shirikisho la Soka Afrika CAF limetangaza leo Jumanne kuwa Misri ndiyo itakuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2019, baada ya kuipokonya Cameroon uenyeji huo.

  • Balozi wa Iran Nairobi ataka kuboreshwa ushirikiano na nchi za Afrika Mashariki

    Balozi wa Iran Nairobi ataka kuboreshwa ushirikiano na nchi za Afrika Mashariki

    Jan 04, 2019 04:16

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Kenya ametoa wito wa kutayarishwa mazingira mazuri zaidi ya kupelekwa huduma za kiufundi na kihandisi za Iran katika nchi za mashariki mwa Afrika.

  • Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Jan 01, 2019 04:46

    Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.

  • Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    Dec 21, 2018 23:19

    Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha masuala mbalimbali ikiwemo kesi ya Masheikh wa Zanzibar wanaoshikiliwa katika korokoro za Tanzania Bara kwa miaka mingi sasa. Harith Subeit na maelezo zaidi...

  • Nchi za Afrika zahitaji nafasi milioni 20 za ajira kwa mwaka

    Nchi za Afrika zahitaji nafasi milioni 20 za ajira kwa mwaka

    Dec 18, 2018 03:18

    Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa IMF Bi. Christine Lagarde amesema nchi za Afrika za kusini mwa jangwa la Sahara zinapaswa kuongeza ajira milioni 20 kwa mwaka kutokana na ongezeko la kasi la idadi ya watu.

  • UNCTAD yahimiza biashara mtandaoni Afrika

    UNCTAD yahimiza biashara mtandaoni Afrika

    Dec 14, 2018 04:15

    Afrika haitofikia malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs iwapo haitokumbatia fursa ya kuwekeza katika biashara ya mtandaoni.

  • Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika

    Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika

    Dec 05, 2018 12:58

    Tovuti ya habari ya Intercept imefichua habari za kuwepo kambi za kijeshi za siri za Marekani katika nchi kadhaa za Afrika.

  • Ujerumani kuvutia miradi zaidi ya sekta binafsi barani Afrika na kwingineko katika uga wa tabianchi

    Ujerumani kuvutia miradi zaidi ya sekta binafsi barani Afrika na kwingineko katika uga wa tabianchi

    Dec 03, 2018 12:01

    Gerd Mueller Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani amesema kuwa wiki hii nchi hiyo itaweka wazi ubunifu wake katika mazungumzo ya Umoja wa Mataifa kuhusu mabadliko ya tabianchi kwa ajili ya kuvutia miradi zaidi ya uwekezaji wa sekta binafsi barani Afrika na kwingineko.

  • UN: Nchi za Afrika zinapora bajeti inayotengwa kwa ajili ya wakimbizi

    UN: Nchi za Afrika zinapora bajeti inayotengwa kwa ajili ya wakimbizi

    Nov 30, 2018 11:40

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, baadhi ya nchi za Kiafrika zinapora na kutumia vibaya fedha zinazotengwa kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS