-
Nchi za Afrika kuanzisha mkakati wa kuendeleza ulinzi wa mtoto
Jan 22, 2019 23:17Maofisa wanaohusika na ulinzi wa mtoto kutoka nchi na maeneo 27 watakutana nchini Namibia kwa mara ya kwanza kujadili mikakati ya sasa na ya baadaye ya kuanzisha ulinzi wa mtoto kwa ajili ya ofisi ya kikanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, ESAF.
-
Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)
Jan 08, 2019 10:30Shirikisho la Soka Afrika CAF limetangaza leo Jumanne kuwa Misri ndiyo itakuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2019, baada ya kuipokonya Cameroon uenyeji huo.
-
Balozi wa Iran Nairobi ataka kuboreshwa ushirikiano na nchi za Afrika Mashariki
Jan 04, 2019 04:16Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Kenya ametoa wito wa kutayarishwa mazingira mazuri zaidi ya kupelekwa huduma za kiufundi na kihandisi za Iran katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'
Jan 01, 2019 04:46Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Dec 21, 2018 23:19Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha masuala mbalimbali ikiwemo kesi ya Masheikh wa Zanzibar wanaoshikiliwa katika korokoro za Tanzania Bara kwa miaka mingi sasa. Harith Subeit na maelezo zaidi...
-
Nchi za Afrika zahitaji nafasi milioni 20 za ajira kwa mwaka
Dec 18, 2018 03:18Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa IMF Bi. Christine Lagarde amesema nchi za Afrika za kusini mwa jangwa la Sahara zinapaswa kuongeza ajira milioni 20 kwa mwaka kutokana na ongezeko la kasi la idadi ya watu.
-
UNCTAD yahimiza biashara mtandaoni Afrika
Dec 14, 2018 04:15Afrika haitofikia malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs iwapo haitokumbatia fursa ya kuwekeza katika biashara ya mtandaoni.
-
Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika
Dec 05, 2018 12:58Tovuti ya habari ya Intercept imefichua habari za kuwepo kambi za kijeshi za siri za Marekani katika nchi kadhaa za Afrika.
-
Ujerumani kuvutia miradi zaidi ya sekta binafsi barani Afrika na kwingineko katika uga wa tabianchi
Dec 03, 2018 12:01Gerd Mueller Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani amesema kuwa wiki hii nchi hiyo itaweka wazi ubunifu wake katika mazungumzo ya Umoja wa Mataifa kuhusu mabadliko ya tabianchi kwa ajili ya kuvutia miradi zaidi ya uwekezaji wa sekta binafsi barani Afrika na kwingineko.
-
UN: Nchi za Afrika zinapora bajeti inayotengwa kwa ajili ya wakimbizi
Nov 30, 2018 11:40Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, baadhi ya nchi za Kiafrika zinapora na kutumia vibaya fedha zinazotengwa kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi barani humo.