-
Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri
Jul 25, 2016 08:01Familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, mwanachuoni na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya msomi huyo wa Kiislamu.
-
Zaidi ya watu 50 wafariki dunia kwa homa ya manjano nchini Angola
Feb 15, 2016 15:25Mkuu wa idara ya taifa ya afya nchini Angola amesema kuwa, watu 51 wamefariki dunia katika kipindi cha chini ya miezi mwili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kutokana na homa ya manjano.