Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Jan 10, 2023 02:34

    Tovuti moja ya nchini Marekani imetangaza habari ya kuongezeka mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia wakati wa urais wa "Joe Biden" na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Jan 05, 2023 07:06

    Idadi ya wahanga wa milipuko miwili ya mabomu katika mji wa Mahas katikati ya Somalia imeongezeka na kufikia watu 30.

  • Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Dec 25, 2022 10:33

    Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.

  • Vikosi vya Somalia vyaukomboa mji wa Runirgoud kutoka kwa magaidi wa Al-Shabaab

    Vikosi vya Somalia vyaukomboa mji wa Runirgoud kutoka kwa magaidi wa Al-Shabaab

    Dec 24, 2022 07:40

    Mashambulizi ya Jeshi la Somalia (SNA) dhidi ya kundi la magaidi wa Al-Shabaab yamepata mafanikio mapya baada ya vikosi vyake kuukomboa mji wa Runirgoud, ngome ya mwisho ya magaidi hao wakufurishaji huko Shabelle ya Kati, takriban kilomita 240 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • AU: Kundi la al-Shabaab linaelekea kusambaratika nchini Somalia

    AU: Kundi la al-Shabaab linaelekea kusambaratika nchini Somalia

    Nov 30, 2022 10:57

    Umoja wa Afrika umesema vitendo vya hivi karibuni vya kundi la kigaidi la al-Shabaab vya kuwalenga raia wasio na hatia katika mashambulizi yao vinaashiria namna genge hilo lilivyopoteza udhibiti wa ngome zake, kutokana na operesheni za Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) na waitifaki wake.

  • Mzingiro wa al-Shabaab katika hoteli Somalia wahitimishwa, raia 9 na askari mmoja wauawa

    Mzingiro wa al-Shabaab katika hoteli Somalia wahitimishwa, raia 9 na askari mmoja wauawa

    Nov 29, 2022 07:53

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimevamia hoteli moja katika mji mkuu Mogadishu ili kumaliza mzingiro wa siku moja wa wapiganaji wa al-Shabab ambao waliwaua watu tisa kwenye jengo lililoko karibu na makazi ya rais katika mji huo.

  • Wanamgambo 27 wa al Shabab wauawa katika shambulio la anga Somalia

    Wanamgambo 27 wa al Shabab wauawa katika shambulio la anga Somalia

    Sep 23, 2022 07:52

    wanamgambo 27 kundi la kigaidi la al Shabab la nchini Somalia wameuawa katika shambulio la anga lililotekelezwa katika mkoa wa kati wa Hiran ambako jeshi la Somalia na majeshi waitifaki yalianzisha oparesheni dhidi ya kundi hilo mwezi uliopita.

  • Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Aug 22, 2022 04:24

    Watu wasiopungua 21 wameuawa huku wengine 117 wakijeruhiwa, baada ya kundi la kigaidi la la al-Shabaab kuwashika mateka mamia ya watu katika hoteli moja huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Jul 22, 2022 03:12

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia limefanya shambulio nadra karibu na nchi jirani ya Ethiopia, lililopelekea kuuawa watu wasiopungua 17, wakiwemo raia watatu.

  • Rais wa Somalia: Ukifika wakati mwafaka tutafanya mazungumzo na Ash-Shabaab

    Rais wa Somalia: Ukifika wakati mwafaka tutafanya mazungumzo na Ash-Shabaab

    Jul 08, 2022 02:08

    Rais mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema, kuhitimisha uasi wa utumiaji silaha unaofanywa na kundi la Ash-Shabaab unahitaji mbinu nyingine kuliko ya kijeshi na kwa hivyo utakapofika wakati mwafaka, serikali yake itafanya mazungumzo na kundi hilo lenye misimamo ya kufurutu ada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS