-
Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco
Sep 04, 2021 03:11Spika wa Bunge la Algeria amesema, lilikuwa jambo lenye ulazima kwa nchi hiyo kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Morocco.
-
Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili
Sep 03, 2021 02:27Jeshi la Algeria limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na serikali ya Algiers ya kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat ilikuwa uamuzi wa kiutawala na matokeo ya uchokozi wa Morocco.
-
Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria
Aug 30, 2021 23:12Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.
-
Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni
Aug 19, 2021 19:35Algeria imeuhusisha moto mbaya uliotokea hivi karibuni nchini humo na makundi mawili ambavyo nmayatambua kuwa ni magenge ya "kigaidi", na kusema kuwa moja ya kati ya makundi hayo liungwa mkono na Morocco na Israeli.
-
Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco
Aug 19, 2021 03:30Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo inatazama upya uhusiano wake na nchi ya Morocco. Rais wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya hatua za hivi karibuni za Morocco ambazo ni za chuki na hasama dhidi ya nchi yetu.
-
Wahanga wa moto wa msituni Algeria waongezeka, wafikia 90
Aug 15, 2021 22:08Maafisa husika nchini Algeria wametangaza kuwqa idadi idadi ya wahanga wa moto mkubwa ulioikumba misitu nchini humo inazidi kuongezeka.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni
Aug 12, 2021 03:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake baada ya moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Algeria, kuua makumi ya watu na kuwaacha wengine wengi bila makazi.
-
Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria
Aug 10, 2021 23:16Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya moto mkubwa kuteketeza misitu katika mkoa wa Tizi Ouzou nchini Algeria.
-
Matukio ya Tunisia, ajenda kuu ya mazungumzo ya waziri wa mambo ya nje wa Algeria Misri
Aug 02, 2021 05:52Ramtane Lamamra, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ambaye yuko Misri amekutana na kuzungumza na rais wa nchi hyo kuhusu uhusiano wa nchi mbili na matukio ya Tunisia.
-
Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'
Aug 01, 2021 03:32Serikali ya Algeria imeipokonya kanali moja ya televisheni ya Saudi Arabia leseni ya kuhudumu nchini humo.