Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco

    Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco

    Sep 04, 2021 03:11

    Spika wa Bunge la Algeria amesema, lilikuwa jambo lenye ulazima kwa nchi hiyo kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Morocco.

  • Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili

    Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili

    Sep 03, 2021 02:27

    Jeshi la Algeria limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na serikali ya Algiers ya kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat ilikuwa uamuzi wa kiutawala na matokeo ya uchokozi wa Morocco.

  • Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria

    Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria

    Aug 30, 2021 23:12

    Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.

  • Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni

    Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni

    Aug 19, 2021 19:35

    Algeria imeuhusisha moto mbaya uliotokea hivi karibuni nchini humo na makundi mawili ambavyo nmayatambua kuwa ni magenge ya "kigaidi", na kusema kuwa moja ya kati ya makundi hayo liungwa mkono na Morocco na Israeli.

  • Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco

    Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco

    Aug 19, 2021 03:30

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo inatazama upya uhusiano wake na nchi ya Morocco. Rais wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya hatua za hivi karibuni za Morocco ambazo ni za chuki na hasama dhidi ya nchi yetu.

  • Wahanga wa moto wa msituni Algeria waongezeka, wafikia 90

    Wahanga wa moto wa msituni Algeria waongezeka, wafikia 90

    Aug 15, 2021 22:08

    Maafisa husika nchini Algeria wametangaza kuwqa idadi idadi ya wahanga wa moto mkubwa ulioikumba misitu nchini humo inazidi kuongezeka.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni

    Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni

    Aug 12, 2021 03:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake baada ya moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Algeria, kuua makumi ya watu na kuwaacha wengine wengi bila makazi.

  • Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria

    Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria

    Aug 10, 2021 23:16

    Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya moto mkubwa kuteketeza misitu katika mkoa wa Tizi Ouzou nchini Algeria.

  • Matukio ya Tunisia, ajenda kuu ya mazungumzo ya waziri wa mambo ya nje wa Algeria Misri

    Matukio ya Tunisia, ajenda kuu ya mazungumzo ya waziri wa mambo ya nje wa Algeria Misri

    Aug 02, 2021 05:52

    Ramtane Lamamra, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ambaye yuko Misri amekutana na kuzungumza na rais wa nchi hyo kuhusu uhusiano wa nchi mbili na matukio ya Tunisia.

  • Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'

    Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'

    Aug 01, 2021 03:32

    Serikali ya Algeria imeipokonya kanali moja ya televisheni ya Saudi Arabia leseni ya kuhudumu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS