-
Iran inakaribisha njia ya diplomasia na mazungumzo
Jul 28, 2022 07:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anasema Tehran inakaribisha kuendelea njia ya diplomasia kwa madhumuni ya kufikia makubaliano juu ya kuondolewa vikwazo dhidi yake na kuhuisha mapatano ya nyuklia ya 2015, huku akihimiza Marekani izingatie uhalisia wa mambo.
-
Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa kidiplomasia wa mzozo wa Ukraine
Jul 01, 2022 10:13Iran imesisitiza dhamira yake ya kuchangia katika utatuzi wa kidiplomasia wa mzozo unaotokota nchini Ukraine, ambao sasa unaingia mwezi wa tano.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndiyo sababu ya ugaidi na uharibifu katika eneo hili zima
Jun 19, 2022 06:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.
-
Amir Abdollahian: Uhusiano mzuri baina ya majirani unawakatisha tamaa maadui katika eneo
May 17, 2022 07:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mazungumzo kati yake na Rais mpya wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), na kueleza kuwa uhusiano mwema kati ya nchi jirani ni sababu ya kuvunjika moyo maadui katika eneo.
-
Amir-Abdollahian: Sera mbovu za Marekani ndizo zilizosababisha hali ya sasa katika mazungumzo ya Vienna
May 07, 2022 03:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, sera mbovu ya Marekani ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Iran ndio iliyosababisha hali ya sasa katika mazungumzo ya Vienna.
-
Iran na Mauritania zahimiza kuimarisha ushirikiano wao katika nyuga zote
Apr 20, 2022 07:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Mauritania na kutilia mkazo udharura wa kuimarishwa uhusiano wa Tehran na Nouakchott katika nyuga zote.
-
Amir Abdollahian azungumza kwa simu na Guterres: Mapatano yanakaribia katika mazungumzo ya Vienna
Apr 03, 2022 11:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa mapendekezo ya Iran katika mazungumzo ya Vienna yametumwa upande wa Marekani mwakilishi wa Umoja wa Ulaya katika mazungumzo hayo; na sasa mpira upo mbele ya Marekani.
-
Amir Abdollahian: Tuko tayari kufanya duru ya tano ya mazungumzo na Riyadh
Mar 26, 2022 06:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Iran iko tayari kwa ajili ya duru ya tano ya mazungumzo na Riyadh.
-
Ziara ya tatu ya Amir-Abdollahian nchini Syria katika kipindi cha miezi 7
Mar 25, 2022 08:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir-Abdollahian, Jumatano, tarehe 23 Machi alitembelea kwa mara ya tatu nchi ya Syria katika kipindi cha miezi 7 iliyopita.
-
Amir- Abdollahian: Tuna matumaini na tuko jadi kuhusu natija ya mazungumzo ya Vienna
Mar 25, 2022 08:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina matumaini na wakati huo huo ipo jadi kuhusu matokeo ya mazungumzo ya Vienna.