Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • "Siri ya muqawama wa miaka 6 ya wananchi wa Yemen ni kushikamana vilivyo na Uislamu"

    Feb 03, 2021 04:35

    Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kushikamana vilivyo na Uislamu ndiyo siri iliyolifanya taifa la Yemen kusimama kidete kukabiliana na mashambulizi ya kila upande na makubwa; ya miaka sita sasa kutoka kwa wavamizi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Harakati ya Ansarullah yataka Umoja wa Mataifa ujadili maafa ya Yemen

    Harakati ya Ansarullah yataka Umoja wa Mataifa ujadili maafa ya Yemen

    Jan 30, 2021 09:02

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito kwa wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wajadili hali mbaya ya kibinaadamu nchini Yemen ambayo imetokana na uvamizi wa muungano unaoongozwa na Saudia.

  • Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen

    Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen

    Jan 24, 2021 06:24

    Katika matamshi yanayoonyesha mgongano wa wazi, Faisal bin Farhan bin Abdullah, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amedai kwamba utawala wa Riyadh unataka kusimamisha vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen na wakati huo huo kukaribisha hatua ya utawala ulioondoka madarakani wa Marekani ya kuituhumu Ansarullah kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jan 18, 2021 23:05

    Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.

  • Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi

    Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi

    Jan 17, 2021 04:25

    Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada, kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuliweka jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi na kuitaka ifutilea mbali uamuzi wake huo.

  • Iran yajibu baada ya Marekani kuiweka Answarullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Iran yajibu baada ya Marekani kuiweka Answarullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Jan 14, 2021 04:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kitendo cha serikali ya Marekani cha kuiingiza harakati ya wananchi ya Aswarullah katika orodha ya makundi ya kigaidi ni kukamilisha njama haribifu za vita vya kikatili na dhulma walivyobebeshwa wananchi wasio na ulinzi wa Yemen.

  • Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Jan 06, 2021 01:11

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Saudi Arabia kuondoa mzingiro na kufungua tena mipaka yake ya anga, nchi kavu na baharini na Qatar inaonesha wazi kuwa sera za uvamizi na mzingiro zimefeli na kugonga mwamba.

  • Answarullah: Wavamizi hawatokuwa salama madhali Wayemen hawana usalama

    Answarullah: Wavamizi hawatokuwa salama madhali Wayemen hawana usalama

    Dec 15, 2020 08:08

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Aswarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, nchi zilizoivamia hiyo hiyo kamwe haziwezi kuwa salama maadamu zinaendelea kuwakosesha usalama wananchi wa Yemen.

  • Oman yapinga Ansarullah ya Yemen kuwekwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Oman yapinga Ansarullah ya Yemen kuwekwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Dec 05, 2020 09:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amepinga pendekezo la serikali ya Marekani la kuiweka harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa kuiita kundi la kigaidi moja ya pande kuu zinazopigana nchini Yemen hakusaidii kutatua mgogoro wa nchi hiyo.

  • Ansarullah: Jibu lijalo la Wayemen kwa wavamizi litakuwa kali zaidi

    Ansarullah: Jibu lijalo la Wayemen kwa wavamizi litakuwa kali zaidi

    Nov 25, 2020 04:39

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeonya kuwa jibu lijalo litakalotolewa kwa Wasaudia wavamizi litakuwa kali zaidi na pia kubwa zaidi kuliko la kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS