-
"Siri ya muqawama wa miaka 6 ya wananchi wa Yemen ni kushikamana vilivyo na Uislamu"
Feb 03, 2021 04:35Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kushikamana vilivyo na Uislamu ndiyo siri iliyolifanya taifa la Yemen kusimama kidete kukabiliana na mashambulizi ya kila upande na makubwa; ya miaka sita sasa kutoka kwa wavamizi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Harakati ya Ansarullah yataka Umoja wa Mataifa ujadili maafa ya Yemen
Jan 30, 2021 09:02Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito kwa wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wajadili hali mbaya ya kibinaadamu nchini Yemen ambayo imetokana na uvamizi wa muungano unaoongozwa na Saudia.
-
Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen
Jan 24, 2021 06:24Katika matamshi yanayoonyesha mgongano wa wazi, Faisal bin Farhan bin Abdullah, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amedai kwamba utawala wa Riyadh unataka kusimamisha vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen na wakati huo huo kukaribisha hatua ya utawala ulioondoka madarakani wa Marekani ya kuituhumu Ansarullah kuwa ni kundi la kigaidi.
-
Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen
Jan 18, 2021 23:05Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.
-
Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi
Jan 17, 2021 04:25Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada, kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuliweka jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi na kuitaka ifutilea mbali uamuzi wake huo.
-
Iran yajibu baada ya Marekani kuiweka Answarullah katika orodha ya makundi ya kigaidi
Jan 14, 2021 04:31Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kitendo cha serikali ya Marekani cha kuiingiza harakati ya wananchi ya Aswarullah katika orodha ya makundi ya kigaidi ni kukamilisha njama haribifu za vita vya kikatili na dhulma walivyobebeshwa wananchi wasio na ulinzi wa Yemen.
-
Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli
Jan 06, 2021 01:11Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Saudi Arabia kuondoa mzingiro na kufungua tena mipaka yake ya anga, nchi kavu na baharini na Qatar inaonesha wazi kuwa sera za uvamizi na mzingiro zimefeli na kugonga mwamba.
-
Answarullah: Wavamizi hawatokuwa salama madhali Wayemen hawana usalama
Dec 15, 2020 08:08Mmoja wa viongozi waandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Aswarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, nchi zilizoivamia hiyo hiyo kamwe haziwezi kuwa salama maadamu zinaendelea kuwakosesha usalama wananchi wa Yemen.
-
Oman yapinga Ansarullah ya Yemen kuwekwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi
Dec 05, 2020 09:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amepinga pendekezo la serikali ya Marekani la kuiweka harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa kuiita kundi la kigaidi moja ya pande kuu zinazopigana nchini Yemen hakusaidii kutatua mgogoro wa nchi hiyo.
-
Ansarullah: Jibu lijalo la Wayemen kwa wavamizi litakuwa kali zaidi
Nov 25, 2020 04:39Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeonya kuwa jibu lijalo litakalotolewa kwa Wasaudia wavamizi litakuwa kali zaidi na pia kubwa zaidi kuliko la kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco.