Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah: Msimu wa baridi kali umekaribia Ulaya; tukichokozwa tutapiga visima na meli za mafuta na gesi

    Ansarullah: Msimu wa baridi kali umekaribia Ulaya; tukichokozwa tutapiga visima na meli za mafuta na gesi

    Dec 20, 2023 11:14

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amezionya nchi mbili za Kiarabu kwamba zisithubutu kuingia kwenye muungano wa Bahari Nyekundu wa Marekani na imetangaza wazi kwamba, kama Yemen itashambuliwa, basi harakati hiyo itajibu kwa kupinga visima na meli za maafuta na gesi na haitojali kwamba msimu wa baridi kali umekaribia barani Ulaya.

  • Jeshi la Yemen: Tutalenga na kuteka meli zote za Israel katika Bahari Nyekundu

    Jeshi la Yemen: Tutalenga na kuteka meli zote za Israel katika Bahari Nyekundu

    Nov 20, 2023 03:28

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya nchi hiyo vitashambulia na kuteka meli zote zinazomilikiwa au kusimamiwa na kampuni za utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni hatua kuliunga mkono taifa la Palestina, wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ansarullah ya Yemen yakosoa vikali ulegevu walioonyesha watawala wa Kiarabu mbele ya Wazayuni

    Ansarullah ya Yemen yakosoa vikali ulegevu walioonyesha watawala wa Kiarabu mbele ya Wazayuni

    Nov 11, 2023 12:03

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza kuwa itaendelea kuliunga mkono kwa dhati taifa na Muqawama wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na imekosoa vikali udhaifu na ulegevu ulioonyeshwa na watawala wa nchi za Kiarabu mbele ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel.

  • Ansarullah ya Yemen yafanya shambulizi la droni dhidi ya Israel

    Ansarullah ya Yemen yafanya shambulizi la droni dhidi ya Israel

    Nov 01, 2023 03:01

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefanya mashambulizi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani.

  • Ansarullah: Kimbunga cha al-Aqsa ni ushindi wa kihistoria

    Ansarullah: Kimbunga cha al-Aqsa ni ushindi wa kihistoria

    Oct 11, 2023 02:35

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na kueleza kuwa, shambulizi la kushtukiza la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) na makundi mengine ya mapambano ya Palestina dhidi ya Israel ni ushindi wa kihistoria ambao umeleta mlingano wa nguvu na kuusabababishia hasara kubwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ansarullah yatangaza kushikamana na taifa la Syria

    Ansarullah yatangaza kushikamana na taifa la Syria

    Oct 06, 2023 07:10

    Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani mashambulizi ya makundi ya kigaidi katika chuo cha kijeshi cha Homs nchini Syria.

  • Ansarullah: Kuondolewa serikali madarakani limekuwa takwa la wananchi

    Ansarullah: Kuondolewa serikali madarakani limekuwa takwa la wananchi

    Oct 02, 2023 08:07

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza kuwa, kuondolewa madarakani serikali ya Abdul Aziz bin Habtoor limekuwa matakwa la wananchi.

  • Ansarullah yalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Ansarullah yalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Mar 31, 2023 02:11

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.

  • Ali Al-Kahum: Amani nchini Yemen itapatikana kwa kufukuzwa vikosi vya kigeni

    Ali Al-Kahum: Amani nchini Yemen itapatikana kwa kufukuzwa vikosi vya kigeni

    Feb 27, 2023 11:21

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema Marekani na Uingereza zinakwamisha operesheni za misaada ya kibinadamu nchini Yemen na kusisitiza kuwa: Njia ya kurejesha amani nchini humo inapitia lango la kufukuzwa vikosi vya kigeni kutoka nchi hiyo.

  • Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu

    Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu

    Aug 09, 2022 02:54

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS