Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Arubaini

  • Polisi Nigeria yatumia mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Polisi Nigeria yatumia mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 11, 2017 03:13

    Polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuvunja matembezi ya amani ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakishiriki maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) katika mji mkuu Abuja.

  • Wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran waingia Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran waingia Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 09:10

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iraq amesema hadi kufikia jana Jumapili Alasiri, wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran walikuwa wameingia Iraq kwa ajili Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Arubaini ya Imam Husain AS katika Picha

    Arubaini ya Imam Husain AS katika Picha

    Nov 05, 2017 10:54

    Waislamu kutoka kona mbalimbali za dunia wanazidi kumiminika Karbala kwa ajili ya Arubaini ya Imam Husain AS.

  • Jahangiri: Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya amani na ukombozi

    Jahangiri: Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya amani na ukombozi

    Nov 21, 2016 03:01

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya amani na ukombozi.

  • Wairani waungana na dunia katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Wairani waungana na dunia katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 20, 2016 08:17

    Wananchi wa matabaka yote wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameungana na dunia katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, aliyeuawa shahidi katika jangwa la Karbala nchini Iraq, mwaka wa 61 Hijria.

  • Washiriki wa Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS watoa ujumbe kwa walimwengu

    Washiriki wa Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS watoa ujumbe kwa walimwengu

    Nov 19, 2016 15:47

    Mamilioni ya watu wanashiriki katika matembezi ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS ambapo pia wanatia saini waraka wenye ujumbe unaofafanua kuhusu mjumuiko huu mkubwa zaidi duniani.

  • Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Feb 12, 2016 08:16

    Arubaini ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni wa Kiislamu aliyeuawa shahidi na utawala wa Aal-Saud imeadhimishwa kwa maandamano ya maelfu ya watu nchini Saudi Arabia na Bahrain.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS