Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ashura

  • Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura

    Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura

    Aug 20, 2021 14:28

    Askari polisi nchini Nigeria jana Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua na kujeruhi kadhaa miongoni mwao.

  • Swala ya Adhuhuri ya Ashura yaswaliwa kote katika Iran ya Kiislamu

    Swala ya Adhuhuri ya Ashura yaswaliwa kote katika Iran ya Kiislamu

    Aug 19, 2021 15:37

    Waombolezaji kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wameswali Swala ya Adhuhuri ya Ashura katika kumbukumbu ya siku aliyouawa shahidi kiongozi wa mashahidi, Imam Hussein AS.

  • Wingu la huzuni na majonzi latanda Iran katika maombolezo ya Ashura

    Wingu la huzuni na majonzi latanda Iran katika maombolezo ya Ashura

    Aug 19, 2021 08:02

    Wananchi Waislamu waombolezaji hapa Iran leo wanashiriki kwenye vikao vya maombolezo kukumbuka ushujaa na dhulma waliotendewa mashahidi wa Karbala kkwa mnasaba wa siku ya Ashura.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Bahrain wawakosoa watawala wa ukoo wa Aal Khalifa kwa kuvunjia heshima nembo za kidini

    Wanazuoni wa Kiislamu Bahrain wawakosoa watawala wa ukoo wa Aal Khalifa kwa kuvunjia heshima nembo za kidini

    Aug 17, 2021 02:33

    Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain wamelaani vikali hatua za utawala wa kizazi cha Aal Khalifa wa nchi hiyo za kuvunjia heshima shughuli za kidini na nembo za maombolezo ya mwezi wa Muharram unaokumbusha mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja hatua hizo.

  • Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye dimbwi la huzuni na majonzi ya maombolezo ya Ashura

    Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye dimbwi la huzuni na majonzi ya maombolezo ya Ashura

    Aug 30, 2020 07:16

    Kwa kuwadia Ashura, siku ya kupeperushwa bendera za wekundu wa damu za kupigania uhuru na ukombozi, msisimko wa mapenzi ya Imam Hussein AS umetanda katika kila pembe ya Iran ya Kiislamu.

  • Mkumi ya maelfu ya askari wa Iraq kushiriki katika ulinzi wa maombolezo ya Ashura

    Mkumi ya maelfu ya askari wa Iraq kushiriki katika ulinzi wa maombolezo ya Ashura

    Aug 25, 2020 11:49

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Karbala Iraq amesema, askari 30 elfu wamewekwa tayari kwa ajili ya kulinda usalama wa wafanya ziara na waombolezaji wa Ashura ya Imam Husain AS.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan: Njia ya mashahidi wa Karbala, lazima iendelezwe

    Waziri Mkuu wa Pakistan: Njia ya mashahidi wa Karbala, lazima iendelezwe

    Sep 11, 2019 12:08

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan sambamba na kuashiria kumalizika kwa marasimu ya kidini ya kumi la kwanza la mwezi wa Muharram nchini Pakistan, amesema kuwa raia wa nchi hiyo hususan Waislamu wa jimbo la Kashmir, ni lazima waendeleze ujumbe wa mashahidi wa Karbala.

  • Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Sep 11, 2019 03:26

    Zaidi ya Waislamu milioni tatu jana tarehe 10 Muharram ambayo ni maarufu kama siku ya Ashura, walishiriki katika maombolezo ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Vita vyovyote dhidi ya Iran vina maana ya kufutwa Israel katika uso wa dunia

    Sayyid Hassan Nasrullah: Vita vyovyote dhidi ya Iran vina maana ya kufutwa Israel katika uso wa dunia

    Sep 10, 2019 12:41

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu waliofurika kwa ajili ya maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Husain AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.

  • Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yaadhimishwa kote duniani

    Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yaadhimishwa kote duniani

    Sep 10, 2019 03:37

    Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia hii leo wanaadhimisha siku ya Ashura ya kukumbuka alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS