-
Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura
Aug 20, 2021 14:28Askari polisi nchini Nigeria jana Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua na kujeruhi kadhaa miongoni mwao.
-
Swala ya Adhuhuri ya Ashura yaswaliwa kote katika Iran ya Kiislamu
Aug 19, 2021 15:37Waombolezaji kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wameswali Swala ya Adhuhuri ya Ashura katika kumbukumbu ya siku aliyouawa shahidi kiongozi wa mashahidi, Imam Hussein AS.
-
Wingu la huzuni na majonzi latanda Iran katika maombolezo ya Ashura
Aug 19, 2021 08:02Wananchi Waislamu waombolezaji hapa Iran leo wanashiriki kwenye vikao vya maombolezo kukumbuka ushujaa na dhulma waliotendewa mashahidi wa Karbala kkwa mnasaba wa siku ya Ashura.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Bahrain wawakosoa watawala wa ukoo wa Aal Khalifa kwa kuvunjia heshima nembo za kidini
Aug 17, 2021 02:33Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain wamelaani vikali hatua za utawala wa kizazi cha Aal Khalifa wa nchi hiyo za kuvunjia heshima shughuli za kidini na nembo za maombolezo ya mwezi wa Muharram unaokumbusha mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja hatua hizo.
-
Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye dimbwi la huzuni na majonzi ya maombolezo ya Ashura
Aug 30, 2020 07:16Kwa kuwadia Ashura, siku ya kupeperushwa bendera za wekundu wa damu za kupigania uhuru na ukombozi, msisimko wa mapenzi ya Imam Hussein AS umetanda katika kila pembe ya Iran ya Kiislamu.
-
Mkumi ya maelfu ya askari wa Iraq kushiriki katika ulinzi wa maombolezo ya Ashura
Aug 25, 2020 11:49Mkuu wa Jeshi la Polisi la Karbala Iraq amesema, askari 30 elfu wamewekwa tayari kwa ajili ya kulinda usalama wa wafanya ziara na waombolezaji wa Ashura ya Imam Husain AS.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Njia ya mashahidi wa Karbala, lazima iendelezwe
Sep 11, 2019 12:08Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan sambamba na kuashiria kumalizika kwa marasimu ya kidini ya kumi la kwanza la mwezi wa Muharram nchini Pakistan, amesema kuwa raia wa nchi hiyo hususan Waislamu wa jimbo la Kashmir, ni lazima waendeleze ujumbe wa mashahidi wa Karbala.
-
Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake
Sep 11, 2019 03:26Zaidi ya Waislamu milioni tatu jana tarehe 10 Muharram ambayo ni maarufu kama siku ya Ashura, walishiriki katika maombolezo ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Vita vyovyote dhidi ya Iran vina maana ya kufutwa Israel katika uso wa dunia
Sep 10, 2019 12:41Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu waliofurika kwa ajili ya maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Husain AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.
-
Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yaadhimishwa kote duniani
Sep 10, 2019 03:37Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia hii leo wanaadhimisha siku ya Ashura ya kukumbuka alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.