Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran ameonya kuwa shambulizi lolote la kigaidi dhidi ya taifa hili litapokea jibu kali.
Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran ametoa wito wa kutumiwa vyema uwezo wa visiwa vya Iran katika Ghuba ya Uajemi kwa ajili ya kuboresha uchumi wa taifa hili.
Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, nchi zilizoendelea zinashindana kwa ajili ya uwekezaji hapa nchini.
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja baina ya Shina na Suni una umuhimu mkubwa mno hususan katika hali na mazingira tete na hasasi yanayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni.