Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baghdad

  • Mamlaka za Ghaza zairejeshea Israel miili 88 ya Wapalestina isiyo na 'utambulisho' wowote

    Mamlaka za Ghaza zairejeshea Israel miili 88 ya Wapalestina isiyo na 'utambulisho' wowote

    Sep 26, 2024 05:12

    Mamlaka za Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimeurejeshea utawala wa Kizayuni wa Israel kontena lililobeba miili ya Wapalestina 88 ambayo haitambuliki kutokana na kutoambatanishwa na taarifa zozote kuhusu utambulisho wao.

  • Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Oct 13, 2023 11:37

    Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.

  • Serikali ya Iraq yasambaratisha genge la kigaidi mjini Baghdad

    Serikali ya Iraq yasambaratisha genge la kigaidi mjini Baghdad

    Sep 18, 2023 10:45

    Shirika la Usalama wa Taifa la Iraq limetangaza habari ya kusambaratishwa na kutiwa mbaroni kanali ya kigaidi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Duru mpya ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia kufanyika hivi karibuni Baghdad, Iraq

    Duru mpya ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia kufanyika hivi karibuni Baghdad, Iraq

    Feb 10, 2023 02:26

    Waziri Mkuu wa Iraq ametangaza kuwa duru mpya ya mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia itafanyika hivi karibuni mjini Baghdad.

  • Iran, makundi ya Iraq yalaani shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Baghdad

    Iran, makundi ya Iraq yalaani shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Baghdad

    Jan 29, 2022 13:16

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na makundi maarufu ya Iraq yamelaani shambulizi la hivi karibuni la roketi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad, wakisema hatua hizo za "kutiliwa shaka" zinalenga kuyumbisha usalama wa nchi hiyo.

  • Mkutano wa Baghdad, kiwango cha ushiriki na malengo yake

    Mkutano wa Baghdad, kiwango cha ushiriki na malengo yake

    Aug 29, 2021 03:48

    Mkutano wa nchi jirani na Iraq umeanza leo Jumamosi tarehe 28 Agosti mjini Baghdad.

  • A'saaib Ahlil-Haq: Utawala wa Kizayuni na Marekani ndio waliohusika na mripuko wa Baghdad

    A'saaib Ahlil-Haq: Utawala wa Kizayuni na Marekani ndio waliohusika na mripuko wa Baghdad

    Jul 21, 2021 07:53

    Katibu Mkuu wa harakati ya A'saaib Ahlil-Haq ameashiria njama za Marekani za kutaka kuliimarisha genge la DAESH(ISIS) nchini Iraq na akasema: katika kufanikisha jambo hilo, Washington inasaidiwa na mashirika ya intelijensia ya Israel na nchi za Kiarabu.

  • Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa kwa droni

    Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa kwa droni

    Jul 06, 2021 08:16

    Baadhi ya duru za habari za Iraq zimetangaza habari ya kujiri shambulio la anga katika eneo la Kijani huko Baghdad na karibu na jengo la ubalozi wa Marekani.

  • Rais Barham Salih wa Iraq aamuru uchunguzi mlipuko wa hospitali ya wagonjwa wa corona, makumi wamefariki dunia

    Rais Barham Salih wa Iraq aamuru uchunguzi mlipuko wa hospitali ya wagonjwa wa corona, makumi wamefariki dunia

    Apr 25, 2021 09:31

    Rais Barham Salih wa Iraq ametoa amri ya kufanyika uchunguzi kuhusiana na mlipuko uliotokea mapema leo katika Hospitali ya Ibn Khatib mjini Baghdad iliyotengwa kwa ajili ya wagonjwa wa corona. Makumi ya wagonjwa wameuawa katika ajali hiyo.

  • Moto waua watu 55 katika hospitali ya wagonjwa wa corona mjini Baghdad, Iraq

    Moto waua watu 55 katika hospitali ya wagonjwa wa corona mjini Baghdad, Iraq

    Apr 25, 2021 03:22

    Watu wasiopungua 55 wameaga dunia katika ajali ya moto iliyosababishwa na kuripuka mitungi ya oksijini kwenye hospitali moja ya wagonjwa wa corona katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS