Jul 06, 2020 02:29
Maelfu ya Wairaqi wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad wakilaani hatua ya gazeti linalomilikiwa na Saud Arabia la al Sharq al Awsat ya kumvunjia heshima kiongozi mkuu wa kidini nchini humo, Ayatullah Ali Sistani.