Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baghdad

  • Papa Francis awasili Baghdad, Iraq katika safari yake ya kihistoria

    Papa Francis awasili Baghdad, Iraq katika safari yake ya kihistoria

    Mar 05, 2021 13:20

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewasili Baghdad mji mkuu wa Iraq katika ziara yake ya kihistoria ya siku tatu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Baraza la Usalama lataka kufikishwa mahakamani wahusika wa miripuko ya Iraq

    Baraza la Usalama lataka kufikishwa mahakamani wahusika wa miripuko ya Iraq

    Jan 23, 2021 07:54

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa tamko kali la kulaani mashambulio ya kigaidi ya juzi Alkhamisi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad na limetaka wahusika wote mashambulizi hayo ya umwagaji wa damu wafuatiliwe kisheria na wapandishwe kizimbani.

  • Januari 21; siku ya umwagaji mkubwa wa damu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Januari 21; siku ya umwagaji mkubwa wa damu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Jan 23, 2021 03:17

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea siku ya Alkhamisi tarehe 21 Januari katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu 32 na kujeruhi wengine 110.

  • Miripuko Iraq, muungano wa

    Miripuko Iraq, muungano wa "Daulat al Qanun" wataka kuangaliwa upya mikakati ya ulinzi Iraq

    Jan 22, 2021 03:55

    Muungano wa "Daulat al Qanun" umelaani vikali miripuko ya kigaidi iliyotokea jana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad na kutaka kuangaliwa upya mipango na mikakati ya kulinda usalama wa maeneo yote ya nchi hiyo.

  • Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Oct 01, 2020 02:27

    Marekani imekuwa nchini Iraq kwa upana zaidi tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na hadi sasa kuna maelfu ya wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jaribio la mfumo wa makombora ya kujihami angani ndani ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Jaribio la mfumo wa makombora ya kujihami angani ndani ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Jul 06, 2020 11:25

    Ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad siku ya Jumamosi ulichukua hatua isiyo ya kawaida na kufanyia majaribio mfumo wa makombora ya kujihami ndani ya ubalozi huo.

  • Maelfu ya Wairaqi waandamana, walaani gazeti la Saudia kwa kumvunjia heshima Ayatullah Sistani

    Maelfu ya Wairaqi waandamana, walaani gazeti la Saudia kwa kumvunjia heshima Ayatullah Sistani

    Jul 06, 2020 02:29

    Maelfu ya Wairaqi wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad wakilaani hatua ya gazeti linalomilikiwa na Saud Arabia la al Sharq al Awsat ya kumvunjia heshima kiongozi mkuu wa kidini nchini humo, Ayatullah Ali Sistani.

  • Kiwewe cha Pompeo kuhusu matukio ya hivi karibuni mjini Baghdad, Iraq

    Kiwewe cha Pompeo kuhusu matukio ya hivi karibuni mjini Baghdad, Iraq

    Jan 01, 2020 12:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo sambamba na kukariri madai yake bandia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kwamba matukio ya mjini Baghdad, yanatishia maslahi ya nchi yake.

  • Wairaqi wafanya maandamano Baghdad kuunga mkono matamshi ya Ayatullah Sistani

    Wairaqi wafanya maandamano Baghdad kuunga mkono matamshi ya Ayatullah Sistani

    Dec 05, 2019 11:57

    Wakazi wa mji mkuu wa Iraq, Baghdad wamefanya maandamano makubwa mapema leo chini ya kaulimbiu ya "Timua Waharibifu" wakitangaza uungaji mkono wao kwa kiongozi mkuu wa kidini nchini humo Ayatullah Ali Sistani.

  • Usalama warejea katika mji  mkuu wa Iraq baada ya machafuko

    Usalama warejea katika mji mkuu wa Iraq baada ya machafuko

    Oct 04, 2019 12:14

    Usalama umerejea katika mji mkuu wa Iraq Baghdad, baada ya machafuko ya siku kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS