Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baghdad

  • Bunge la Iraq lakosoa vikali harakati za kutia shaka za balozi mdogo wa Marekani nchini humo

    Bunge la Iraq lakosoa vikali harakati za kutia shaka za balozi mdogo wa Marekani nchini humo

    Apr 16, 2019 04:08

    Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq sambamba na kukosoa vikali harakati za kutia shaka za balozi mdogo wa Marekani mjini Baghdad, imesisitiza kuwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq inatakiwa kuchukua hatua kuhusiana na suala hilo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq azungumza na Barzani kuhusu Kurdistan ya Iraq

    Waziri Mkuu wa Iraq azungumza na Barzani kuhusu Kurdistan ya Iraq

    Jan 21, 2018 03:09

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haydar al Abadi na Nechirvan Barzani, rais wa utawala wa ndani wa eneo la Kurdistan la Iraq wamefanya mazungumzo kuhusiana na matukio ya hivi karibuni na mgogoro uliozuka baina ya Baghdad na Erbil baada ya Kurdistan kuitisha kura ya maoni ya kujitenga na Iraq.

  • Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Jan 15, 2018 07:49

    Watu wasiopungua 27 wameuawa na wengine zaidi ya 65 kujuruhiwa kufuatia mashambulizi mawili ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Bajeti na vivuko vya mpakani; hitilafu mpya baina ya Arbil na Baghdad

    Bajeti na vivuko vya mpakani; hitilafu mpya baina ya Arbil na Baghdad

    Nov 03, 2017 06:30

    Katika hali ambayo eneo la Kurdistan la Iraq limekumbwa na mivutano mikubwa ya ndani, mzozo baina ya eneo hilo na serikali kuu ya Iraq nao ungali unatokota.

  • Serikali ya Iraq yapitisha vikwazo vipya dhidi ya eneo la Kurdistan

    Serikali ya Iraq yapitisha vikwazo vipya dhidi ya eneo la Kurdistan

    Oct 10, 2017 03:07

    Katika kujibu hatua ya viongozi wa eneo la Kurdistan ya Iraq ya kukiuka katiba na kuitisha kura ya maoni ya kutaka kujitenga na kujitangazia uhuru, serikali kuu ya Iraq imechukua maamuzi mapya ya kuliadhibu eneo hilo.

  • Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Jun 14, 2017 15:36

    Balozi wa Syria nchini Iraq amesema kuwa, sababu kuu ya kutokea mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran, ni kutokana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi pekee iliyosimama kikweli na wananchi na serikali za Iraq na Syria kupambana na magenge ya kigaidi yaliyozivamia nchini hizo.

  • Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    May 30, 2017 15:40

    Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.

  • Watu 36 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghadad

    Watu 36 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghadad

    Jan 02, 2017 15:11

    Watu wasiopungua 36 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa leo kufuatia hujuma ya kigaidi katika kitongoji cha Sadr katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Dec 31, 2016 14:53

    Milipuko miwili iliyotokea katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu wasiopungua 28.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Oct 16, 2016 14:43

    Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS