Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baghdad

  • Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh

    Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh

    Aug 17, 2016 07:12

    Baghdad imesema kuwa Russia imeruhusiwa kwa masharti kutumia anga ya Iraq kuendesha mashambulizi dhidi ya kundi la Daesh huko Syria.

  • 30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    Jul 24, 2016 07:49

    Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Ban alaani mashambulizi ya kigaidi ya Baghdad

    Ban alaani mashambulizi ya kigaidi ya Baghdad

    Jul 04, 2016 04:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Baghdad nchini Iraq na kutoa mkono wa pole na salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mashambulizi hayo.

  • Idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi Baghdad yaongezeka

    Idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi Baghdad yaongezeka

    Jul 03, 2016 13:36

    Duru za habari zimeripoti kuwa idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi iliyotokea Baghdad mji mkuu wa Iraq imeongezeka na kufikia watu 165.

  • Mashambulio ya kigaidi yaua na kujeruhi makumi ya watu kaskazini mwa Baghdad, Iraq

    Mashambulio ya kigaidi yaua na kujeruhi makumi ya watu kaskazini mwa Baghdad, Iraq

    May 30, 2016 15:29

    Raia wasiopungua 26 wameuawa na kujeruhiwa leo katika miripuko ya mabomu ya mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa kaskazini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq

    Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq

    May 19, 2016 03:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, ambalo limesababisha vifo vya mamia ya watu tokeo Jumatano ya wiki iliyopita.

  • Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq

    Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq

    May 17, 2016 13:53

    Kwa akali watu 58 wameuawa na wengine zaidi ya 90 wamejeruhiwa katika mashambulizi matatu ya bomu yaliyoutikisa mji mkuu wa Iraq, Baghdad hii leo.

  • Mripuko wa bomu waua watu wasiopungua 64 mjini Baghdad, Iraq

    Mripuko wa bomu waua watu wasiopungua 64 mjini Baghdad, Iraq

    May 11, 2016 15:34

    Watu wasiopungua 64 wameuawa na wengine zaidi ya 85 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo karibu na soko moja katika kitongoji cha Sadr mashariki mwa mji mkuu wa Iraq, Baghadad.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS