Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahari ya Mediterranea

  • Yemen: Tunao uwezo wa

    Yemen: Tunao uwezo wa "kuzizamisha" meli za adui katika Bahari Nyekundu, ya Arabia na Mediterania

    Jan 28, 2024 06:38

    Yemen, ambayo imekuwa ikizishambulia meli zenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kuwahami na kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wanaoandamwa na mashambulio ya kinyama ya utawala huo, imesema inao uwezo wa "kuzizamisha" meli za adui mahali popote katika Bahari Nyekundu, ya Arabia na Mediterania.

  • Kufa maji ni moja ya sababu kuu za vifo miongoni mwa vijana

    Kufa maji ni moja ya sababu kuu za vifo miongoni mwa vijana

    Jul 26, 2022 07:22

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema kuaga dunia kwa kuzama ni miongoni mwa sababu kuu za vifo miongoni mwa vijana wenye umri baina ya mwaka moja na 24 duniani.

  • UN: Umoja wa Ulaya unahusika katika vifo vya wahamiaji Bahari ya Mediterania

    UN: Umoja wa Ulaya unahusika katika vifo vya wahamiaji Bahari ya Mediterania

    May 27, 2021 02:19

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa Umoja wa Ulaya ni mhusirika katika vifo vya wahamiaji wanaoaga dunia mara kwa mara katika Bahari ya Mediterania wakiwa mbioni kelekea katika nchi za bara hilo.

  • Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Aug 17, 2020 13:28

    Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki na Marekani wamekutana katika Jamhuri ya Dominican na kujadiliana kuhusu matukio ya eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterania na nchi ya Libya.

  • Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Jun 14, 2020 12:38

    Baada ya Uturuki kuwa na uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya Libya na kushiriki pakubwa katika vita vya niaba, sasa viongozi wa Ankara wanazungumzi suala la kuanzisha vituo viwili vya kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Maafa ya wakimbizi yaendelea kushuhudiwa Bahari ya Mediterania

    Maafa ya wakimbizi yaendelea kushuhudiwa Bahari ya Mediterania

    Oct 09, 2019 12:57

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limetangaza katika ripoti yake ya hivi karibuni kwamba, maafa ya wahajiri yanaendelea kushuhudiwa katika maji ya Bahari ya Mediterania.

  • UNHCR:  Zaidi ya wahajiri 1,000 wamekufa maji mwaka huu katika bahari ya Mediterania

    UNHCR: Zaidi ya wahajiri 1,000 wamekufa maji mwaka huu katika bahari ya Mediterania

    Oct 02, 2019 04:37

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 1,000 wamekufa maji mwaka huu katika bahari ya Mediterania wakiwa katika juhudi za kuelea barani Ulaya kutafuta maisha mazuri.

  • Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Jan 04, 2019 16:25

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa zaidi ya wahajiri elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania katika mwaka ulioisha wa 2018.

  • Malengo ya Saudi Arabia ya kuanzisha mfumo maalumu wa kisheria wa nchi za Bahari Nyekundu

    Malengo ya Saudi Arabia ya kuanzisha mfumo maalumu wa kisheria wa nchi za Bahari Nyekundu

    Dec 14, 2018 06:31

    Serikali ya ukoo wa Aal Saud ya nchini Saudi Arabia imetangaza habari ya kuanzishwa mfumo maalumu wa kisheria wa nchi za Bahari Nyekundu.

  • Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nov 24, 2018 02:46

    Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS