-
Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya
Nov 03, 2016 16:25Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 239 wali0kuwa wakielekea barani Ulaya wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya.
-
Wahajiri waendelea kuokolewa majini katika bahari ya Mediterania
Sep 12, 2016 06:40Mshirika ya misaada ya kibinadamu yameripoti kuwa juma la wahajiri 700 wamenusurika kifo baada ya kuopolewa katika bahari ya Mediterania.
-
Wanawake kumi wahajiri waaga duniai katika bahari ya Mediterania
Jul 01, 2016 03:37Wanawake kumi wameaga dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya jana Alhamisi.
-
UN yaidhinisha kupanuliwa operesheni za EU, Libya
Jun 15, 2016 07:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa sauti moja limepasisha azimio linaloupa idhini Umoja wa Ulaya kuongeza operesheni za vikosi vyake vya majini katika pwani ya Libya, katika Bahari ya Mediterranean.
-
Nchi za Ulaya haziwasaidii wakimbizi wanaozama baharani
Apr 27, 2016 03:29Nchi za Ulaya hazijachukua hatua za kutosha kuwanusuru wakimbizi wanaozama baharini wakijaribu kufika barani Ulaya kwa njia hatari za baharini.