Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

balozi

  • Balozi wa utawala wa Kizayuni atimuliwa Colombia

    Balozi wa utawala wa Kizayuni atimuliwa Colombia

    Jun 24, 2024 07:04

    Balozi wa Israel ametimuliwa nchini Colombia baada ya Bogota kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni kutokana na mashambulizi na jinai zisizokwisha za Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.

  • Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    May 27, 2024 11:57

    Saudi Arabia imetangaza kuteua balozi wake mpya nchini Syria ikiwa ni balozi wake wa kwanza baada ya zaidi ya muongo mmoja tangu ilipositisha uhusiano wake na serikali yar ais Bashar al-Assad.

  • Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria

    Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria

    May 15, 2024 06:08

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.

  • Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Jul 25, 2023 11:44

    Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Kuchomwa moto Qur'ani Tukufu, balozi wa Sweden atimuliwa Iraq

    Kuchomwa moto Qur'ani Tukufu, balozi wa Sweden atimuliwa Iraq

    Jul 21, 2023 02:40

    Serikali ya Iraq imemfukuza balozi wa Sweden mjini Baghdad kulalamikia serikali ya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ya kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.

  • Juhudi za nchi za Kiafrika za kukabiliana na ukiritimba wa nchi za Ulaya

    Juhudi za nchi za Kiafrika za kukabiliana na ukiritimba wa nchi za Ulaya

    Apr 10, 2023 02:32

    Baada ya Mali na Burkina Faso kuwafukuza mabalozi wa Ufaransa, majuzi Chad ilimpa balozi wa Ujerumani muda wa masaa 48 kuwa ameondoka nchini humo.

  • Bunge la Jordan lapasisha pendekezo la kutimuliwa balozi wa Israel mjini Amman

    Bunge la Jordan lapasisha pendekezo la kutimuliwa balozi wa Israel mjini Amman

    Mar 22, 2023 12:34

    Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.

  • Sana'a: Uingereza sababu kuu ya uvamizi Yemen

    Sana'a: Uingereza sababu kuu ya uvamizi Yemen

    Jan 22, 2023 11:18

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ameeleza kuwa, Uingereza si tu haiwezi kusaidia kupunguza mateso na masaibu ya kiuchumi ya wananchi wa Yemen bali nchi hiyo ni sehemu kuu ya njama ya kuvamiwa nchi hiyo.

  • Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Nov 02, 2022 13:39

    Wananchi wa Lebanon wametoa mwito wa kutimuliwa nchini humo balozi wa Saudi Arabia wakimtuhumu kwamba, amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Sep 16, 2022 07:40

    Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS