Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baraza la Wataalamu

  • Leo Ijumaa, wananchi wa Iran wanashiriki katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu

    Leo Ijumaa, wananchi wa Iran wanashiriki katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu

    Feb 21, 2020 03:05

    Uchaguzi wa Bunge la 11 la Iran linalojulikana kwa jina la Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu na uchaguzi wa kwanza mdogo wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, unafanyika leo Ijumaa kuanzia saa mbili asubuhi katika kona zote za Iran.

  • Iran: Kwa mara nyingine Marekani imedhihirisha udhalili wake

    Iran: Kwa mara nyingine Marekani imedhihirisha udhalili wake

    Apr 16, 2019 06:58

    Msemaji wa Kamati ya Uongozi ya Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya ya kuzuia kutumwa misaada ya nchi nyingine kwa ajili ya wahanga wa mafuriko nchini Iran, imedhihirisha udhalili wake wa kukabiliana na ubinaadamu na haki za msingi za kibinaadamu.

  • Kiongozi Muadhamu asisitizia umuhimu wa kukabiliana na hujuma kubwa ya maadui wa Iran

    Kiongozi Muadhamu asisitizia umuhimu wa kukabiliana na hujuma kubwa ya maadui wa Iran

    Mar 14, 2019 14:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, katika kukabiliana na hujuma kubwa za maadui ni lazima kuchukuliwe hatua za kujitolea kukubwa kwa nyenzo, uwezo na watu ili kuthibitisha kivitendo imani ya wananchi na viongozi juu ya kukumbuka na kumtegemea Mwenyezi Mungu na kwamba ahadi za Mwenyezi Mungu kuhusu taifa kubwa la Iran zinatimia.

  • Kiongozi: Lengo la adui katika vita vya vyombo vya habari ni kuwafadhaisha na kuwakatisha tamaa wananchi

    Kiongozi: Lengo la adui katika vita vya vyombo vya habari ni kuwafadhaisha na kuwakatisha tamaa wananchi

    Sep 06, 2018 14:49

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema, jukumu muhimu zaidi walilonalo wananchi na wenye vipawa katika hali nyeti na hasasi ya hivi sasa ni kupiga hatua mbele katika kudumisha na kuimarisha mshikamano baina ya wananchi na vyombo vya serikali na kujiepusha na kujenga mazingira ya kupoteza matumaini na kukatisha tamaa na kuhisi kwamba kuna mkwamo.

  • Ayatullah Jannati: Kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya Iran liwe funzo

    Ayatullah Jannati: Kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya Iran liwe funzo

    Sep 04, 2018 13:32

    Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ahamad Jannati ameashiria Marekani kuvunja ahadi zake na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA, na kusema hilo linapaswa kuwa funzo kuhusu mazungumzo na Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Imani na ucha-Mungu, ni sababu ya kusimama imara taifa la Iran dhidi ya hujuma za Marekani na Israel

    Kiongozi Muadhamu: Imani na ucha-Mungu, ni sababu ya kusimama imara taifa la Iran dhidi ya hujuma za Marekani na Israel

    Mar 15, 2018 14:55

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama imara na mafanikio ya Iran katika kukabiliana na hujuma za mrengo mkubwa wa kisiasa, kifedha, kijeshi, kiusalama na kiutamaduni wa Marekani na Israel, kunatokana na baraka za kuwepo imani na ucha-Mungu baina ya matabaka ya wananchi na vijana wa Iran.

  • Iran imebadilisha changamoto, vitisho kuwa fursa zisizo na kifani

    Iran imebadilisha changamoto, vitisho kuwa fursa zisizo na kifani

    Mar 14, 2018 02:45

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema changamoto na vitisho vyote vya kigeni dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vimebadilishwa na kuwa fursa zisizo na kifani.

  • Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    May 26, 2016 16:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.

  • Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu

    Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu

    May 24, 2016 16:23

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema jukumu la Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Kumchagua Kiongozi Mkuu ni kulinda kwa umakini na kwa hali zote utambulisho wa Kiislamu na Kimapinduzi wa Mfumo.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS