-
Bashar al Assad: Mustakbali wa Syria unatia matumaini
Dec 10, 2019 07:55Rais wa Syria ameitaja Ulaya, Marekani na baadhi ya nyingine nyingine kuwa pande kuu husika katika kuibua machafuko na ukosefu wa amani huko Syria na kusema mustakbali wa nchi yake unatia matumaini.
-
Assad: Asante ya Trump kwa Syria kuhusu kuuliwa al Baghdadi ni mzaha
Nov 28, 2019 01:21Rais wa Syria amehoji mchezo wa maonyesho unaofanywa na Marekani kuhusu kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh na kueleza kuwa: Madai ya Marekani kwamba Syria ilishiriki katika mauaji hayo ni moja ya mizaha ya Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Rais Bashar al-Assad: Syria katu haitagawanywa
Nov 16, 2019 02:45Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema: Serikali ya Damascus haitaafiki kwa namna yoyote ile Syria igawanywe.
-
Sisitizo la Rais Bashar al-Assad la kulindwa ardhi yote ya Syria
Nov 02, 2019 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ameionya Uturuki na kuikosoa Marekani na kuzungumzia uwezekano wa Washington wa kuliunda tena kundi la kigaidi la Daesh na akasisitiza juu ya kulindwa ardhi yote ya nchi hiyo.
-
Bashar al Assad: Wanajeshi vamizi wamelikalia kwa mabavu eneo la kaskazini mwa Syria
Oct 19, 2019 02:39Rais wa Syria amesema kuwa wanajeshi vamizi wa nchi za kigeni wamelikalia kwa mabavu eneo la kaskazini mwa Syria na kusisitiza kuwa kuna ulazima wanajeshi hao kuondoka katika eneo hilo.
-
Bashar Assad: Syria itajibu kisheria mashambulizi ya Uturuki
Oct 18, 2019 03:27Rais Bashar al Assad wa Syria amesema hadi sasa nchi yake imeshatoa jibu kwa mashambulizi ya Uturuki na magaidi waitifaki wa Uturuki na kuongeza kuwa Syria itatumia uwezo wake wote wa kisheria kujibu mashambulizi dhidi yake.
-
Israel: Hatimaye Rais Bashar al Assad wa Syria ameshinda baada ya miaka 8 ya vita
Oct 17, 2019 13:30Gazeti la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Haaretz sambamba na kukiri ushindi wa Rais Bashar al Assad wa Syria katika mgogoro wa miaka minane wa nchi hiyo, limeandika kuwa, viongozi wa Marekani, Israel na Uturuki ndio wanaopaswa kulaumiwa kuhusu suala hilo.
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria atoa amri ya msamaha kwa wote
Sep 16, 2019 08:06Rais Bashar al-Assad wa Syria ametoa amri ya msamaha kwa watuhumiwa ambao hawakufanya jinai kama za kuua watu nchini humo.
-
Rais Bashar al-Assad: Syria itasimama pamoja na Iran kuvikabili vitisho vya Marekani
Jul 16, 2019 03:28Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kwamba nchi yake itasimama pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuvikabili vitisho vya Marekani.
-
Bashar al Assad: Matatizo ya Mashariki ya Kati yanatokana na siasa mbovu za Marekani
Apr 17, 2019 03:07Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, moja ya sababu kuu za ukosefu wa amani Mashariki ya Kati ni siasa mbovu za Marekani za kuingilia masuala ya ndani ya nchi za eneo hili.