• Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Jun 29, 2016 07:48

    Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.

  • Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    May 30, 2016 15:28

    Bunge la Kiarabu limeutaka Umoja wa Mataifa uhakikishe inaundwa nchi ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Baitul- Muqaddas. Bunge la Kiarabu limetoa wito huo katika kikao kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri.