• Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas

    Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas

    Nov 13, 2016 16:41

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump na kutekeleza ahadi aliyotoa ya kuuhamishia katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas ubalozi wa nchi hiyo ulioko Tel Aviv, Israel.

  • Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Jun 29, 2016 07:48

    Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.

  • Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    May 30, 2016 15:28

    Bunge la Kiarabu limeutaka Umoja wa Mataifa uhakikishe inaundwa nchi ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Baitul- Muqaddas. Bunge la Kiarabu limetoa wito huo katika kikao kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri.