Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Mkutano wa kimataifa  wa kupambana na madawa ya kulevya unafanyika Moscow Russia

    Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya unafanyika Moscow Russia

    Dec 04, 2017 11:25

    Mkutano wa kimataifa wa Mabunge wa kupambana na madawa ya kulevya umeanza leo katika mji mkuuu wa Russia Moscow na unahudhuriwa na wawakilishi wa Mabunge kutokana nchi mbalimbali ulimwenguni.

  • Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 26, 2017 04:37

    Wabunge wanane wa upinzani wamerejesha kwenye hazina ya serikali fedha walizopokea kwa ajili ya kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 24, 2017 10:11

    Msemaji wa Bunge la Uganda amesema kila Mbunge wa nchi hiyo amepewa shilingi milioni 29 za nchi hiyo, sawa na dola elfu 8 za Marekani, kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Sep 27, 2017 10:51

    Kwa siku ya pili mfululizo, Wabunge wa Uganda wamerushiana makonde Bungeni wakati wa kujadiliwa muswada wa sheria inayotaka kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Sep 22, 2017 04:34

    Hatua ya Kenya kutoteua wabunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki EALA hadi sasa imechelewesha kuanza vikao vya chombo hicho cha kieneo.

  • Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Sep 20, 2017 23:18

    Wabunge wa vyama vya upinzani nchini Uganda wamesema serikali inawatishia maisha masaa machache kabla ya bunge la nchi hiyo kujadili muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Sep 14, 2017 10:14

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.

  • Iran na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wao wa Kibunge

    Iran na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wao wa Kibunge

    Sep 12, 2017 10:30

    Hossein Amir-Abdollahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Bunge la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Afrika Kusini zinaweza kutumia uwezo wao kuondoa vizuizi vilivyopo ili kuimarisha uhusiano wa pande mbili ukiwemo wa kibunge.

  • Bunge la Iraq lapiga kura ya kupinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan

    Bunge la Iraq lapiga kura ya kupinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan

    Sep 12, 2017 10:24

    Bunge la Iraq limepiga kura kwa kishindo kupinga kufanyika kura ya maoni ya kutaka kujitenga eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan.

  • Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Aug 18, 2017 03:45

    Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS