Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Aug 15, 2017 03:31

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia masaa machache kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Vienna, iwapo Marekani itathubutu kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Aug 09, 2017 02:34

    Kwa mara nyingine tena Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kuenguliwa madarakani baada ya kupataka uungaji mkono hafifu wa chama tawala ANC katika kura ya kutokuwa na imani naye Bungeni.

  • Bunge la Iraq lasherehekea kukombolewa mji wa Mosul

    Bunge la Iraq lasherehekea kukombolewa mji wa Mosul

    Jul 04, 2017 11:10

    Wabunge wa Iraq wamefanya sherehe kufurahia ushindi wa hivi karibuni na kukomblewa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidi wa kitakfiri wa Daesh. Hatua hiyo imechukuliwa na Bunge la Iraq ili kuonyesha mshikamano wa Bunge na vikosi vya jeshi la nchi hiyo na harakati ya wananchi ya Hashdu Sha'abi.

  • Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Jul 02, 2017 03:48

    Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.

  • Bunge la Zambia lawatimua wabunge waliosusia hotuba ya rais

    Bunge la Zambia lawatimua wabunge waliosusia hotuba ya rais

    Jun 14, 2017 03:34

    Bunge la Zambia limewafukuza makumi ya wabunge wa upinzani ambao walisusia hotuba ya Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo miezi michache iliyopita.

  • Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Jun 12, 2017 21:56

    Maafisa wa usalama kusini mwa Iran wamefanikiwa kuwaangamzia magaidi wanne wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh sambamba na kunasa silaha walizokuwa nazo pamoja na bendera ya kundi hilo la kigaidi.

  • Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Jun 07, 2017 03:18

    Watu wawili akiwemo afisa wa usalama wameripotiwa kuuawa huku watu wengine wanane wakijeruhiwa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia majengo ya Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini MA, katika mji mkuu Tehran.

  • Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    May 30, 2017 23:40

    Wabunge wawili wa mrengo wa kulia katika bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset wamewasilisha kwenye bunge hilo rasimu ya sheria iliyopewa jina la 'Quds Kubwa'.

  • Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    May 17, 2017 09:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimejadili njia mbalimbali za kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi mbili hizo.

  • Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    May 12, 2017 08:40

    Serikali ya Misri imechukua hatua kali zaidi za usalama katika eneo linalozunguka bunge kufuatia kuongezeka vitisho dhidi ya wabunge wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS