-
Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa
Mar 10, 2017 10:30Bunge la Uswisi limekataa kupasisha muswada wa kupiga marufuku nchini humo vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.
-
Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi
Mar 01, 2017 12:19Bunge la Somalia limemuidhinisha Hassan Ali Khaire kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo katika kikao cha ufunguzi wa Bunge la 10 leo Jumatano, kilichofunguliwa na Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo.
-
Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais
Feb 26, 2017 23:18Wawakilishi wa Bunge la Misri wamesema kuwa, wanataka kipindi cha uongozi wa Rais wa nchi hiyo kiongezwe.
-
Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018
Feb 15, 2017 04:29Uchaguzi wa Rais na Bunge wa Libya umepangwa kufanyika kufikia mwezi Februari mwaka kesho.
-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge
Feb 13, 2017 00:50Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.
-
Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina
Feb 12, 2017 08:37Katibu Mkuu wa Jumuiya ya nchi za Kiarabu ameelezea kuwepo migongano ya serikali mpya ya Marekani kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiarabu.
-
Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini
Feb 10, 2017 04:32Kwa mara nyingine tena Bunge la Afrika Kusini jana Alkhamisi lililegeuzwa na kuwa ukumbi wa masumbwi, mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kwa taifa.
-
Morocco yaazimia kurejea katika Umoja wa Afrika
Jan 19, 2017 10:38Bunge la Morocco limepiga hatua moja mbele ikiwa ni juhudi za nchi hiyo kutaka kurejea katika Umoja wa Afrika baada ya kujiondoa kwa zaidi ya miongo mitatu iliyopita.
-
Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari
Jan 18, 2017 13:10Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.
-
Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge
Jan 10, 2017 04:40Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Daniel Kablan Duncan amejiuzulu na kutangaza kuvunja serikali yake katika hatua ambayo ilitarajiwa kufuatia kuidhinishwa kwa Katiba mpya ya nchi na uchaguzi wa Bunge uliofanyika mwezi uliopita wa Disemba 2016.