-
Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu
Dec 28, 2016 04:39Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.
-
Bunge la Yemen laidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa
Dec 11, 2016 11:23Bunge la Yemen limeidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa, hatua ambayo imehusisha matumaini ya kupatiwa ufumbuzi wa kudumu mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana
Dec 07, 2016 12:15Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset leo Jumatano limeutupilia mbali muswada wa kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Wananchi wa Ghana wapiga kura kumchagua Rais na Wabunge
Dec 07, 2016 10:48Wananchi wa Ghana leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua Rais Mpya na wawakilishi wa bunge.
-
Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa
Dec 03, 2016 23:46Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.
-
Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri
Nov 16, 2016 10:42Bunge la Misri limepasisha mswada kwa ajili ya kubana shughuli za taasisi zisizo za kiserikali nchini humo.
-
Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran
Nov 14, 2016 23:20Katika kipindi hiki, Tehran imekuwa ikifikiwa na ugeni wa viongozi na maafisa wa nchi mbalimbali za Ulaya. Wakati László Kövér, Spika wa bunge la Hungary akiwa bado mjini Tehran kwa mazungumzo na mashauriano na maafisa wa Iran juu ya uhusiano wa mabunge ya nchi mbili Mwenyekiti wa Baraza la Shirikisho la Russia Valentina Ivanovna Matvienko, naye pia amewasili Tehran kwa safari rasmi ya kikazi.
-
Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole
Nov 07, 2016 04:33Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kifo cha spika wa zamani wa bunge la nchi hiyo, Samuel Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumaini alikokuwa anapatiwa matibabu.
-
Marekani hailipi uzito suala la vita dhidi ya ugaidi
Oct 26, 2016 04:41Alauddin Burujerdi Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema Marekani hailipatii uzito suala la vita dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena
Sep 26, 2016 10:43Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe 10 ya mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa.