-
Hali ya Burundi yatiliwa wasiwasi na Baraza la Usalama la UN
Apr 07, 2018 07:35Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeeleza wasiwasi wake kuhusiana na hali ya kisiasa nchini Burundi sambamba na ukosefu wa irada thabiti ya kisiasa ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.
-
SAUTI, Wafuasi wa dini ya Binti Zebiya na raia wa Burundi, warejeshwa makwao kutoka Rwanda, wakiwa na lawama
Apr 02, 2018 15:13Raia wa Burundi zaidi ya 1600 waliokuwa wakiishi kwa muda nchini Rwanda wamerejea nchini Burundi huku wakiwa na malalamiko mbalimbali dhidi ya maafisa usalama wa Rwanda.
-
Burundi yatangaza Mei 17 kuwa tarehe ya kura ya maoni
Mar 19, 2018 03:17Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza Mei 17 kuwa tarehe ya kufanyika kura ya maoni ya kuifanyia mabadiliko katiba ya nchi.
-
Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahamia Rwanda kutoka Congo DR
Mar 08, 2018 08:18Wakimbizi elfu mbili na mia tano wa Burundi wameingia katika nchi ya Rwanda wakitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
SAUTI, Tume ya Haki za Binaadamu Burundi yakosoa vikali hatua ya kushushwa hadhi yake na Umoja wa Mataifa
Mar 06, 2018 15:57Tume ya Kitaifa ya Haki za Binaadam nchini Burundi (CNIDH) imeshushwa hadhi na Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa kwa kile kilichotajwa kuwa imeshindwa kushirikiana vilivyo na baraza hilo.
-
Burundi yakasirishwa na ripoti ya Umoja wa Mataifa dhidi yake
Feb 23, 2018 14:35Serikali ya Burundi imetoa taarifa mpya ya kukosoa ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya kibinaadamu nchini humo.
-
UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu
Feb 21, 2018 07:40Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema mtu mmoja kwa kila raia watatu wa Burundi atahitaji misaada ya kibinadamu mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 20 ikilinganishwa na mwaka jana 2017.
-
SAUTI, Serikali ya Burundi yapiga marufuku kuwanyanya raia kwa kutumia zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura
Feb 16, 2018 04:48Huku zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura nchini Burundi likikaribia kumalizika, baadhi ya ripoti zinaarifu kuwepo vitendo vilivyo kinyume na sharia kuhusiana na zoezi hilo.
-
SAUTI, Uandikishaji majina ya wapigakura Burundi ili kushiriki kura ya maoni 2020 utakaomsafishia njia Rais Nkurunziza waanza
Feb 08, 2018 15:40Nchini Burundi, leo kumezinduliwa zoezi la uorodheshaji wa majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu kuelekea kura ya maoni hapo baadaye.
-
SAUTI, Serikali ya Burundi yaanza kuwaondosha ombaomba mitaani, nao waitaka serikali iwape pesa ya kujikimu
Feb 06, 2018 15:55Serikali ya Burundi kupitia Wizara ya Mshikamano Kitaifa, imeanzisha zowezi la kuwaondowa watoto wa barabarani maarufu kama ombaomba katika dhamira ya kumaliza tatizo hilo.