Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Hali ya Burundi yatiliwa wasiwasi na Baraza la Usalama la UN

    Hali ya Burundi yatiliwa wasiwasi na Baraza la Usalama la UN

    Apr 07, 2018 07:35

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeeleza wasiwasi wake kuhusiana na hali ya kisiasa nchini Burundi sambamba na ukosefu wa irada thabiti ya kisiasa ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.

  • SAUTI, Wafuasi wa dini ya Binti Zebiya na raia wa Burundi, warejeshwa makwao kutoka Rwanda, wakiwa na lawama

    SAUTI, Wafuasi wa dini ya Binti Zebiya na raia wa Burundi, warejeshwa makwao kutoka Rwanda, wakiwa na lawama

    Apr 02, 2018 15:13

    Raia wa Burundi zaidi ya 1600 waliokuwa wakiishi kwa muda nchini Rwanda wamerejea nchini Burundi huku wakiwa na malalamiko mbalimbali dhidi ya maafisa usalama wa Rwanda.

  • Burundi yatangaza Mei 17 kuwa tarehe ya kura ya maoni

    Burundi yatangaza Mei 17 kuwa tarehe ya kura ya maoni

    Mar 19, 2018 03:17

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza Mei 17 kuwa tarehe ya kufanyika kura ya maoni ya kuifanyia mabadiliko katiba ya nchi.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahamia Rwanda kutoka Congo DR

    Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahamia Rwanda kutoka Congo DR

    Mar 08, 2018 08:18

    Wakimbizi elfu mbili na mia tano wa Burundi wameingia katika nchi ya Rwanda wakitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • SAUTI, Tume ya Haki za Binaadamu Burundi yakosoa vikali hatua ya kushushwa hadhi yake na Umoja wa Mataifa

    SAUTI, Tume ya Haki za Binaadamu Burundi yakosoa vikali hatua ya kushushwa hadhi yake na Umoja wa Mataifa

    Mar 06, 2018 15:57

    Tume ya Kitaifa ya Haki za Binaadam nchini Burundi (CNIDH) imeshushwa hadhi na Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa kwa kile kilichotajwa kuwa imeshindwa kushirikiana vilivyo na baraza hilo.

  • Burundi yakasirishwa na ripoti ya Umoja wa Mataifa dhidi yake

    Burundi yakasirishwa na ripoti ya Umoja wa Mataifa dhidi yake

    Feb 23, 2018 14:35

    Serikali ya Burundi imetoa taarifa mpya ya kukosoa ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya kibinaadamu nchini humo.

  • UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    Feb 21, 2018 07:40

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema mtu mmoja kwa kila raia watatu wa Burundi atahitaji misaada ya kibinadamu mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 20 ikilinganishwa na mwaka jana 2017.

  • SAUTI, Serikali ya Burundi yapiga marufuku kuwanyanya raia kwa kutumia zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura

    SAUTI, Serikali ya Burundi yapiga marufuku kuwanyanya raia kwa kutumia zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura

    Feb 16, 2018 04:48

    Huku zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura nchini Burundi likikaribia kumalizika, baadhi ya ripoti zinaarifu kuwepo vitendo vilivyo kinyume na sharia kuhusiana na zoezi hilo.

  • SAUTI, Uandikishaji majina ya wapigakura Burundi ili kushiriki kura ya maoni 2020 utakaomsafishia njia Rais Nkurunziza waanza

    SAUTI, Uandikishaji majina ya wapigakura Burundi ili kushiriki kura ya maoni 2020 utakaomsafishia njia Rais Nkurunziza waanza

    Feb 08, 2018 15:40

    Nchini Burundi, leo kumezinduliwa zoezi la uorodheshaji wa majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu kuelekea kura ya maoni hapo baadaye.

  • SAUTI, Serikali ya Burundi yaanza kuwaondosha ombaomba mitaani, nao waitaka serikali iwape pesa ya kujikimu

    SAUTI, Serikali ya Burundi yaanza kuwaondosha ombaomba mitaani, nao waitaka serikali iwape pesa ya kujikimu

    Feb 06, 2018 15:55

    Serikali ya Burundi kupitia Wizara ya Mshikamano Kitaifa, imeanzisha zowezi la kuwaondowa watoto wa barabarani maarufu kama ombaomba katika dhamira ya kumaliza tatizo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS