Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili

    Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili

    May 20, 2026 02:57

    Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.

  • Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu

    Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu

    May 16, 2026 11:59

    Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.

  • China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan

    China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan

    May 14, 2026 03:20

    China kwa mara nyingine tena imepinga vikali hatua ya Marekani kuzidisha himaya na uungaji mkono wake wa kijeshi kwa Taiwan sambamba na ziara ya Rais Trump mjini Beijing.

  • China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake

    China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake

    May 12, 2026 03:59

    China imepinga vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya kampuni zake tatu kwa madai ya kusaidia shughuli za kijeshi za Iran, na imeahidi kulinda biashara zake dhidi ya hatua hizo ambazo imezitaja kuwa za upande mmoja na zisizo halali.

  •  China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano

    China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano

    May 07, 2026 08:03

    China imemkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kwa mazungumzo mjini Beijing, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, akivitaja vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kuwa “visivyo halali” na kutoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano.

  • Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi

    Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi

    May 05, 2026 11:39

    Televisheni ya CNN imeripoti kuwa, ikiwa imepita zaidi ya miaka minne baada ya ndege ya abiria ya Boeing 737-800 kuanguka mlimani kusini mwa China na kuua watu wote 132 waliokuwa ndani yake, data iliyotolewa hivi karibuni "imeashiria kwambs upo uwezekano mtu aliyekuwa katika chumba cha marubani alizima usambazaji wa mafuta katika injini kwa makusudi.

  • Beijing yasisitiza kuendelezwa juhudi za usuluhishi ili kurejesha amani Magharibi mwa Asia

    Beijing yasisitiza kuendelezwa juhudi za usuluhishi ili kurejesha amani Magharibi mwa Asia

    Mar 20, 2026 07:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema kuwa mashambulizi yanayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia yamevuruga usafirishaji wa baharini na kwamba Beijing itaendeleza juhudu za usuluhishi ili kufanikisha usitishaji vita na kukomesha uhasama ili kurejesha amani na utulivu katika eneo la Magharibi mwa Asia haraka iwezekanavyo.

  • China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

    China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

    Mar 03, 2026 12:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitizia ulazima wa faili la nyuklia la Iran kuondolewa kwenye wingu la vita.

  • Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    Feb 21, 2026 05:41

    Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.

  • Je, China ina msimamo gani kuhusu hatua mpya za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi?

    Je, China ina msimamo gani kuhusu hatua mpya za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi?

    Feb 16, 2026 00:05

    China sambamba na kuashiria kuidhinishwa kanuni mpya na baraza la mawaziri la usalama la Israel ili kuimarisha udhibiti wa Ukingo wa Magharibi, imeonya kuhusu matokeo mabaya ya hatua hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS