Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel

    China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel

    May 19, 2025 07:25

    China imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni na kupachikwa jina bandia la Israel kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.

  • Katibu Mkuu wa UN: Akili Mnemba ni upanga wenye makali pande mbili, ina manufaa na madhara

    Katibu Mkuu wa UN: Akili Mnemba ni upanga wenye makali pande mbili, ina manufaa na madhara

    May 03, 2025 06:36

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao na kwamba teknolojia mpya ya akili mnemba au AI inayotumika katika tasnia hiyo licha ya kuwa na manufaa inaibua hatari mpya pia kwenye uhuru wa kujieleza.

  • China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani

    China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani

    Apr 30, 2025 02:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amesema kusalimu amri na kufikia makubaliano na Marekani katika vita vya kibiashara vya Washington hakutakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi uchu na uroho wa Marekani.

  • Uganda yatangaza kumalizika mripuko wa karibuni wa ugonjwa wa Ebola

    Uganda yatangaza kumalizika mripuko wa karibuni wa ugonjwa wa Ebola

    Apr 27, 2025 02:32

    Uganda imetangaza kumalizika mripuko uliozuka karibuni zaidi wa ugonjwa wa Ebola miezi mitatu baada ya mamlaka husika kuthibitisha kesi za maambukizo ya ugonjwa huo katika mji mkuu Kampala.

  • China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani

    China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani

    Apr 17, 2025 02:29

    China imeonya kwamba "haiogopi" kupigana vita vya kibiashara na Marekani, ikikariri wito wa mazungumzo baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kusema kwamba Beijing lazima ichukue hatua ya kwenda kwenye meza ya mazungumzo.

  • Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Apr 17, 2025 02:28

    Rais wa Marekani Donald Trump ameshindwa kuficha kiwewe chake kwa kusema kuwa ziara ya Rais Xi Jinping wa China nchini Vietnam inalenga kuiharibia jina Marekani, huku kukiwa na ongezeko la vita vya ushuru kati ya Washington na Beijing.

  • Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Apr 13, 2025 02:18

    Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

  • Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Apr 12, 2025 11:14

    Rais wa China, Xi Jinping ametahadharisha kuwa, Marekani iko katika hatari ya kujitenga yenyewe kwa kushupalia vita vya ushuru na vikwazo vya biashara vya upande mmoja.

  • Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Apr 11, 2025 07:42

    Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.

  • Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Apr 10, 2025 10:44

    Sera za ushuru za Rais Donald Trump wa Marekani zimegeuka kuwa vita vya kibiashara kati ya Marekani na waitifaki, washirika na wapinzani wake wa kibiashara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS