-
Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa
Mar 28, 2025 06:04Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.
-
China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi
Mar 26, 2025 07:41Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali shirikishi na wachukua hatua madhubuti za kupabana na ugaidi nchini humo.
-
China yaionya Marekani, yaitaka iache kuingilia ushirikiano wake wa kibiashara na Iran
Mar 22, 2025 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameionya Marekani kwa kuitaka iache kuingilia ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya China na Iran.
-
Rais wa China akataa mwaliko wa EU wa kuhudhuria kikao cha kuadhimisha miaka 50 ya uhusiano
Mar 17, 2025 05:36Rais Xi Jinping wa China amekataa mwaliko wa kuhudhuria kikao kilichopangwa kufanyika mjini Brussels kuadhimisha miaka 50 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yake na Umoja wa Ulaya.
-
"Luteka ya Mkanda wa Usalama, dhihirisho la uwezo wa Jeshi la Majini la Iran"
Mar 12, 2025 07:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya 'Mkanda wa Usalama 2025' yanadhihirisha ushujaa na uwezo mkubwa wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu katika medani za kimataifa.
-
China yaituhumu Marekani kuwa na sera za nyuso mbili
Mar 08, 2025 06:59Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeutuhumu utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kufuata sera za " nyuso mbili" na kuahidi "kukabiliana kwa uthabiti" na mashinikizo yanayoongezeka ya vikwazo, huku mvutano kati ya nchi hizo mbili zenye nguvu za kiuchumi ukiendelea kutokota.
-
EAC na SADC zawateua marais wastaafu wa Afrika kusuluhisha mzozo wa Kongo DR
Feb 25, 2025 09:45Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC zimewateua Uhuru Kenyatta kutoka Kenya, Olusegun Obasanjo kutoka Nigeria, na Hailemariam Desalegn kutoka Ethiopia kuongoza mazungumzo ya kutatua mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
-
Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia
Feb 20, 2025 08:07Kuibuka na kupanuka kwa teknolojia ya hali ya juu katika nyanja mbalimbali, hasa katika uwanja wa akili mnemba (Artificial Intligence) kumesababisha mabadiliko makubwa duniani Katika miaka ya hivi karibuni.
-
China: Kuwepo kwa 'Mfumo wa Kambi Kadhaa' duniani ni jambo lisiloweza kuepukika
Feb 17, 2025 03:08Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi ameashiria mabadiliko ya kimuundo yanayojiri katika mfumo wa kimataifa na kubainisha kuwa nchi yake inatilia mkazo ulazima wa dunia kuelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa.
-
Trump apendekeza Wapalestina wa Ghaza wahamishwe na kupelekwa Misri na Jordan
Jan 26, 2025 11:36Rais Donald Trump wa Marekani amependekeza Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza wahamishwe katika ardhi yao hiyo na kupelekwa nchi jirani kama Misri na Jordan, pendekezo lisilo la kawaida ambalo lilipingwa hata na utawala wa mtangulizi wake Joe Biden.