Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Apr 13, 2025 02:18

    Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

  • Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Apr 12, 2025 11:14

    Rais wa China, Xi Jinping ametahadharisha kuwa, Marekani iko katika hatari ya kujitenga yenyewe kwa kushupalia vita vya ushuru na vikwazo vya biashara vya upande mmoja.

  • Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Apr 11, 2025 07:42

    Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.

  • Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Apr 10, 2025 10:44

    Sera za ushuru za Rais Donald Trump wa Marekani zimegeuka kuwa vita vya kibiashara kati ya Marekani na waitifaki, washirika na wapinzani wake wa kibiashara.

  • China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    Apr 10, 2025 02:54

    China imesisitiza kuwa "itapambana hadi mwisho" mkabala wa vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.

  • China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    Apr 08, 2025 09:45

    Wizara ya Biashara ya China imeionya Marekani dhidi ya kuingia katika msururu wa vikwazo vya kibiashara vya 'kujibishana mapigo' baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kutishia kuweka ushuru wa ziada kwa bidhaa za China zinazoingizwa nchini Marekani.

  • China: Tuko tayari kustawisha uhusiano wa kijeshi na Iran na Russia

    China: Tuko tayari kustawisha uhusiano wa kijeshi na Iran na Russia

    Mar 30, 2025 02:38

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amezungumzia mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaliyofanywa na majeshi ya Wanamaji ya nchi hiyo, Iran na Russia na kusisitiza kuwa Beijing iko tayari kustawisha ushirikiano wa kijeshi na nchi hizo mbili.

  • Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Mar 28, 2025 06:04

    Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

  • China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    Mar 26, 2025 07:41

    Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali shirikishi na wachukua hatua madhubuti za kupabana na ugaidi nchini humo.

  • China yaionya Marekani, yaitaka iache kuingilia ushirikiano wake wa kibiashara na Iran

    China yaionya Marekani, yaitaka iache kuingilia ushirikiano wake wa kibiashara na Iran

    Mar 22, 2025 11:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameionya Marekani kwa kuitaka iache kuingilia ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya China na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS