Oct 17, 2023 13:41
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele cha kipekee kwa Moscow, na akauelezea uhusiano wa Moscow na Beijing kuwa ni kama mfano wa ushirikiano wa kiserikali kati ya madola makubwa yenye nguvu katika karne ya 21.