Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Ripoti ya China kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Marekani

    Ripoti ya China kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Marekani

    Mar 30, 2023 06:18

    China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.

  • China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    Mar 29, 2023 22:45

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua ya kujibu mapigo' iwapo Rais wa Taiwan, Tsai Ing-wen atakutana na Spika wa Kongresi ya Marekani, Kevin McCarthy katika safari yake inayotazamiwa kufanyika karibuni.

  • Ripoti ya China: Hali ya haki za binadamu Marekani 2022 ilizidi kuwa mbaya

    Ripoti ya China: Hali ya haki za binadamu Marekani 2022 ilizidi kuwa mbaya

    Mar 29, 2023 03:40

    China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.

  • Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Mar 26, 2023 03:39

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameeleza hofu na wasi wasi alionao juu ya muungano unaoweza kuanzishwa kati ya Iran, Saudi Arabia, China na Russia.

  • China yalalamikia safari za maafisa wa Ujerumani na Uingereza huko Taiwan

    China yalalamikia safari za maafisa wa Ujerumani na Uingereza huko Taiwan

    Mar 23, 2023 03:26

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China imelalamikia vikali safari ya Bettina Stark-Wattsinger, Waziri wa Elimu wa Ujerumani katika Kisiwa cha Taiwan na kusisitiza kuwa inapinga safari rasmi ya waziri huyo katika kisiwa hicho kinachomilikiwa na serikali ya Beijing.

  • Juhudi za China za kumaliza mgogoro wa Ukraine

    Juhudi za China za kumaliza mgogoro wa Ukraine

    Mar 21, 2023 03:22

    Rais Xi Jinping wa China, amesema kuwa mpango wa nchi yake wa kutatua mzozo wa Ukraine unaakisi maoni ya ulimwengu, na kuwa vipengee 12 vya mpango huo vitaondoa kabisa taathira hasi za mgogoro huo.

  • Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, China na Russia

    Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, China na Russia

    Mar 16, 2023 22:45

    Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, China na Russia yanayofanyika kwa anwani ya "Ukanda wa Amani wa Baharini 2023", yameakisiwa sana kimataifa na kuwa habari ya kwanza katika vyombo mashuhuri vya habari duniani.

  • Iran, China na Russia zafanya luteka ya pamoja katika Bahari ya Oman

    Iran, China na Russia zafanya luteka ya pamoja katika Bahari ya Oman

    Mar 16, 2023 07:55

    Vikosi vya majini vya Iran, Russia na China vinaendelea na mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Oman, huo ukiwa ni muendelezo wa juhudi za nchi tatu hizo za kuimarisha ushirikiano wa majeshi yao ya baharini.

  • Mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya China, Iran na Russia yaanza katika Bahari ya Oman

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya China, Iran na Russia yaanza katika Bahari ya Oman

    Mar 15, 2023 04:28

    Wizara ya Ulinzi ya China imetangaza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya majini yanayoishirikisha nchi hiyo, Iran na Russia yatafanyika katika Bahari ya Oman kuanzia leo Jumatano hadi Machi 19.

  • China yaikosoa vikali Marekani

    China yaikosoa vikali Marekani

    Mar 09, 2023 04:25

    Rais Xi Jinping wa Uchina, amehutubu kwenye mkutano wa mwaka wa chama tawala cha Kikomunisti, ambapo ameishambulia vikali Marekani na kusema: Washington inaongoza kampeni ya "kuzuia, kuzingira na kuikandamiza" China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS