Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Sisitizo la Rais wa China la kupinga mabavu na hatua za kupenda kujitanua

    Sisitizo la Rais wa China la kupinga mabavu na hatua za kupenda kujitanua

    Oct 17, 2022 22:40

    Rais wa China amesisitiza katika hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Chama tawala cha Kikomonisti cha nchi hiyo kwamba nchi yake kamwe haina lengo la kutekeleza hatua za kibeberu na kupenda kujitanua kimataifa.

  • Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na China katika kila uga

    Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na China katika kila uga

    Oct 01, 2022 08:35

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili wa Jamhuri ya Kiislamu na China katika nyuga tofauti.

  • Russia na  China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Russia na China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Sep 29, 2022 04:23

    Wawakilishi wa Russia na China wametaka kuachiwa huru fedha zote za Afghanistan zilizozuiwa. Wamebainisha hayo katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Sep 28, 2022 22:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeikosoa Marekani kwa kutekeleza sera ya vikwazo na kusababisha matatizo na masaibu kwa nusu ya watu wote duniani.

  • Upinzani wa marais wa Russia na China dhidi ya ulimwengu wa kambi moja

    Upinzani wa marais wa Russia na China dhidi ya ulimwengu wa kambi moja

    Sep 16, 2022 20:53

    Rais wa Russia, Vladimir Putin, alisema Alkhamisi iliyopita katika mazungumzo yake na mwenzake wa China Xi Jinping yaliyofanyika kando ya mkutano wa kilele wa "Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai" huko Samarkand, nchini Uzbekistan kwamba jitihada za kuunda ulimwengu wa kambi moja hazikubalika.

  • Rais Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani

    Rais Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani

    Sep 16, 2022 06:59

    Rais Ebrahim Raisi amesema, mashirikiano ya kistratijia ya Iran na China ni ishara ya irada ziliyonayo nchi mbili ya kustawisha uhusiano wao katika pande zote na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani.

  • Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Sep 15, 2022 23:32

    Bunge la Seneti la Marekani limepasisha muswada wa sheria inayotaka Taiwan kupewa msaada wa kijeshi wa mabilioni ya dola, hatua inayotazamiwa kuighadhabisha China.

  • Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Sep 14, 2022 03:04

    Marekani imeripotiwa kuwa inatafakari kuiwekea China vikwazo ili kuzuia eti mashambulizi tarajiwa ya kijeshi ya Beijing dhidi ya kisiwa cha Taiwan.

  • Mtetemeko wa ardhi waua watu 66 nchini China

    Mtetemeko wa ardhi waua watu 66 nchini China

    Sep 06, 2022 21:53

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliotokea nchini China imefikia watu 66 huku mamia ya wengine wakijeruhiwa.

  • China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    Sep 03, 2022 21:54

    China imetangaza kuwa Marekani, ambayo ndio msababishaji mkuu wa mgogoro wa Ukraine inafaidika na kuendelea kwa vita katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS