-
Taiwan yadai kuwa China inataka kuivamia kijeshi
Aug 09, 2022 20:51Taipei imedai kuwa China inapanga njama ya kukivamia kisiwa cha Taiwan, baada ya Beijing kutangaza duru mpya ya mazoezi ya kijeshi katika maji ya kisiwa hicho, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa hicho hivi karibuni.
-
China yamuwekea vikwazo Pelosi, yafuta baadhi ya ushirikiano na US
Aug 06, 2022 06:18China imetangaza kuwa itasimamisha ushirikiano na Marekani katika mambo kadhaa hasasi, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa cha Taiwan hivi karibuni.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja
Aug 05, 2022 02:40Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'
-
China yafanya maneva ambayo hayajawahi kushuhudiwa karibu na Taiwan
Aug 04, 2022 06:19China imefyatua makombora kadhaa ya balestiki kuelekea maji yanayoizunguka Taiwan katika mazoezi makubwa ya kijeshi kuwahi kushuhudiwa, likiwa ni jibu kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi katika kisiwa hicho.
-
Radiamali ya Iran, China kwa safari ya Pelosi katika kisiwa cha Taiwan
Aug 03, 2022 07:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa safari ya Nancy Pelosi, Spika wa Kongresi ya Marekani katika kisiwa cha Taiwan na kubainisha kuwa, ziara hiyo ni muendelezo wa mienendo ya kichokozi na kichokezi ya Washington.
-
China yaitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo haramu
Aug 03, 2022 07:27Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kudhibiti Silaha katika Wizara ya Mambo ya China ameitaka Marekani iiondolee Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo haramu.
-
Onyo la moja kwa moja la Rais wa China kwa mwenzake wa Marekani
Jul 31, 2022 21:46Katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Marekani, Rais Xi Jinping wa China amemuonya kuwa Marekani haipaswi kuchezea moto kwa kujaribu kusambaratisha mfumo wa China Moja kuhusu kisiwa cha Taiwan.
-
Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China
Jul 29, 2022 23:14Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Taiwan imesisitiza kuwa Taipei itaimarisha uhusiano wa ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani licha ya onyo kali lililotolewa hivi karibuni na Rais Xi Jinping wa China.
-
Magharibi yahaha kukabiliana na makombora ya "Hypersonic" ya China na Russia
Jul 25, 2022 21:59Mashirika ya silaha ya Uingereza na Marekani hivi sasa yanahaha kuongeza nguvu zao za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na makombora yanayokwenda kwa kasi ya ajabu maarufu kwa jina la makombora ya hypersonic, ya Russia na China.
-
Kwa mara nyingine China yataka Syria iondolewe vikwazo
Jul 25, 2022 21:57Naibu mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba kuna wajibu wa kuondolewa haraka vikwazo ilivyowekewa Syria kwani vikwazo hivyo vinakwamisha juhudi za kupeleka misaada ya kibinadamu nchini humo.