Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Taiwan yadai kuwa China inataka kuivamia kijeshi

    Taiwan yadai kuwa China inataka kuivamia kijeshi

    Aug 09, 2022 20:51

    Taipei imedai kuwa China inapanga njama ya kukivamia kisiwa cha Taiwan, baada ya Beijing kutangaza duru mpya ya mazoezi ya kijeshi katika maji ya kisiwa hicho, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa hicho hivi karibuni.

  • China yamuwekea vikwazo Pelosi, yafuta baadhi ya ushirikiano na US

    China yamuwekea vikwazo Pelosi, yafuta baadhi ya ushirikiano na US

    Aug 06, 2022 06:18

    China imetangaza kuwa itasimamisha ushirikiano na Marekani katika mambo kadhaa hasasi, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa cha Taiwan hivi karibuni.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Aug 05, 2022 02:40

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'

  • China yafanya maneva ambayo hayajawahi kushuhudiwa karibu na Taiwan

    China yafanya maneva ambayo hayajawahi kushuhudiwa karibu na Taiwan

    Aug 04, 2022 06:19

    China imefyatua makombora kadhaa ya balestiki kuelekea maji yanayoizunguka Taiwan katika mazoezi makubwa ya kijeshi kuwahi kushuhudiwa, likiwa ni jibu kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi katika kisiwa hicho.

  • Radiamali ya Iran, China kwa safari ya Pelosi katika kisiwa cha Taiwan

    Radiamali ya Iran, China kwa safari ya Pelosi katika kisiwa cha Taiwan

    Aug 03, 2022 07:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa safari ya Nancy Pelosi, Spika wa Kongresi ya Marekani katika kisiwa cha Taiwan na kubainisha kuwa, ziara hiyo ni muendelezo wa mienendo ya kichokozi na kichokezi ya Washington.

  • China yaitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo haramu

    China yaitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo haramu

    Aug 03, 2022 07:27

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kudhibiti Silaha katika Wizara ya Mambo ya China ameitaka Marekani iiondolee Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo haramu.

  • Onyo la moja kwa moja la Rais wa China kwa mwenzake wa Marekani

    Onyo la moja kwa moja la Rais wa China kwa mwenzake wa Marekani

    Jul 31, 2022 21:46

    Katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Marekani, Rais Xi Jinping wa China amemuonya kuwa Marekani haipaswi kuchezea moto kwa kujaribu kusambaratisha mfumo wa China Moja kuhusu kisiwa cha Taiwan.

  • Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Jul 29, 2022 23:14

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Taiwan imesisitiza kuwa Taipei itaimarisha uhusiano wa ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani licha ya onyo kali lililotolewa hivi karibuni na Rais Xi Jinping wa China.

  • Magharibi yahaha kukabiliana na makombora ya

    Magharibi yahaha kukabiliana na makombora ya "Hypersonic" ya China na Russia

    Jul 25, 2022 21:59

    Mashirika ya silaha ya Uingereza na Marekani hivi sasa yanahaha kuongeza nguvu zao za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na makombora yanayokwenda kwa kasi ya ajabu maarufu kwa jina la makombora ya hypersonic, ya Russia na China.

  • Kwa mara nyingine China yataka Syria iondolewe vikwazo

    Kwa mara nyingine China yataka Syria iondolewe vikwazo

    Jul 25, 2022 21:57

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba kuna wajibu wa kuondolewa haraka vikwazo ilivyowekewa Syria kwani vikwazo hivyo vinakwamisha juhudi za kupeleka misaada ya kibinadamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS