Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    Jul 25, 2022 07:01

    Ziara iliyopangwa kufanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani na misaada ya silaha Washington kwa Taiwan vimezidisha hali ya wasiwasi katika Bahari ya China.

  • Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Jul 19, 2022 21:49

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.

  • China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel

    China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel

    Jul 13, 2022 04:55

    Jeshi la Wanamaji la China limeitimua manowari ya makombora ya Marekani ya USS Benfold iliyoingia bila kibali kwenye eneo la mpaka wa majini wa nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini.

  • China yajibu mapigo kwa hati ya mkakati mpya wa NATO dhidi yake

    China yajibu mapigo kwa hati ya mkakati mpya wa NATO dhidi yake

    Jul 01, 2022 03:33

    China imekosoa hati ya mkakati na stratejia mpya ya Muungano wa Kijeshi wa NATO na kueleza kwamba muungano huo ni changamoto ya kimfumo kwa usalama na uthabiti wa dunia.

  • China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    Jun 30, 2022 09:05

    China imeitaka Marekani irekebishe makosa yake katika mienendo yake dhidi ya Iran.

  • Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Jun 28, 2022 21:48

    Viongozi wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda, G7, wameafiki kuzindua mpango kabambe wa kuwekeza katika miundo msingi kwenye nchi zinazoendelea. Viongozi hao wametangaza kuwa, nchi za G7 zinakusudia kutenga dola bilioni 600 kwa ajili ya mpango huo ifikapo 2027.

  • China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    Jun 25, 2022 21:57

    Afisa mmoja wa jeshi la China amesema, kuruka ndege za kivita na za ugunduzi za Marekani katika anga ya Ghuba ya Taiwan ni kitendo cha kichochezi na tishio kwa amani ya dunia.

  • Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Jun 24, 2022 23:51

    Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inaweza kuwa mshirika endelevu wa kuunganisha nchi wanachama wa BRICS katika maeneo muhimu ya kupitisha nishati na masoko makubwa duniani kwa kuzingatia nafasi yake ya kipekee ya jiografia ya kisiasa na jiografia ya kiuchumi.

  • Harakati hatari za Marekani Mashariki mwa Asia

    Harakati hatari za Marekani Mashariki mwa Asia

    Jun 17, 2022 20:50

    China imeitaka Marekani ikomeshe harakati zake hatari na za kichochezi eneo la Asia Mashariki ilikiwa ni pamoja na harakati zake za kijasusi.

  • Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    May 29, 2022 07:41

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka China kupitia upya sera zake za kupambana na ugaidi ili kuhakikisha zinazingatia viwango vya kimataifa vya haki za binadamu. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS