-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels
Jul 29, 2020 22:03Ikiwa ni katika kudumishwa siasa za mashinikizo za nchi za Magharibi dhidi ya China, Umoja wa Ulaya kama ilivyofanya Marekani, umeiwekea vikwazo Beijing kwa kisingizio cha kutoheshimu haki za binadamu.
-
Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu
Jul 29, 2020 01:30Vyombo vya habari vya China juzi viliripoti kuwa bendera ya Marekani imeshushwa na kuondolewa katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu.
-
Misikiti yafunguliwa tena Beijing baada ya kufungwa kwa miezi sita kutokana na janga la corona
Jul 28, 2020 02:31Misikiti ya mji mkuu wa China, Beijing imefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa kipindi cha miezi sita kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Pompeo adai kampuni ya Huawei ya China inakiuka haki za binadamu
Jul 28, 2020 00:13Katika kuendelea prppaganda chafu za Washington dhidi ya Beijing, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai kuwa kampuni kubwa ya China ya Huawei inakiuka haki za binadamu.
-
China yajibu mapigo kwa Marekani kwa kuufunga ubalozi wa nchi hiyo Chengdu
Jul 24, 2020 03:45Serikali ya China imechukua hatua ya kulipiza kisasi kwa Marekani kwa kuamuru kufungwa ubalozi mdogo wa nchi hiyo ulioko katika mji wa Chengdu kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Rais wa China: Kadhia ya Palestina ndiyo kuu zaidi Asia Magharibi
Jul 21, 2020 22:01Rais Xi jingping wa China amesema kadhia ya Palestina ndilo swala kuu zaidi hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi.
-
Upinzani wa Russia na China kwa hatua za upande mmoja za Marekani
Jul 18, 2020 22:18Siasa za kujichukulia hatua na maamuzi ya kipeke yake za Marekani katika miaka ya karibuni zimezusha hasira kali za viongozi wa nchi mbalimbali duniani; na aghalabu ya viongozi hao wamekosoa siasa hizo za Marekani na kusisitiza kutekelezwa siasa za ushirikiano wa pande kadhaa kwa maslahi ya pamoja. Katika msimamo wao wa karibuni wa kimataifa, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Russia na China wamekosa kuendelea siasa hizo za kivyake vyake za Marekani katika masuala ya kimataifa.
-
Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake
Jul 17, 2020 03:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.
-
Watu 140 wafariki dunia kwa mafuriko China
Jul 15, 2020 03:10Serikali ya China imetangaza kuwa watu takriban 140 wameaga dunia baada ya nchi hiyo kuathiriwa na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kuikumba China katika kipindi cha zaidi ya miaka 30 nchini humo. Aidha watu milioni 38 wameathiriwa na mafuriko hayo na nyumba elfu 28 zimebomoka.
-
Iran yakanusha uvumi wa kuiuzia China kisiwa
Jul 12, 2020 23:10Iran imekanusha uvumi kuwa imeiuzia China kisiwa chake cha Kish katika Ghuba ya Uajemi na hali kadhalika imekanusha madai kuwa imeafiki kuiuzia China mafuta ghafi ya petroli kwa bei rahisi.