Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    May 30, 2020 03:41

    Umoja wa Ulaya na China zimekosoa vikali hatua ya Marekani ya kufuta misamaha ya vikwazo inayohusiana na makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran ya JCPOA.

  • Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    May 28, 2020 21:52

    Waziri wa Ulinzi wa China amesema kuwa ushindani wa nchi hiyo na Marekani umeingia katika nukta nyeti na hatari na kwamba China ni lazima iimarishe zaidi moyo wa kusimama imara.

  • China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    May 28, 2020 12:51

    Waziri Mkuu wa China ameelezea kushtadi mgogoro kati ya nchi yake na Marekani

  • Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    May 28, 2020 04:52

    Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nyingi tofauti hususan wakati huu wa mgogoro wa maambukizi ya corona. Hivi sasa bara la Ulaya limekumbwa na mgogoro ambao haujawahi kutokea barani humo. Si hayo tu, lakini mivutano iliyodhihiri zaidi ndani ya Umoja wa Ulaya wakati huu wa corona, ni msiba mwingine uliolikumba bara hilo na kuzidi kuonesha udhaifu wake katika nyuga tofauti hasa za kiafya na kiuchumi na utegemezi wa nchi hizo kwa mataifa mengine kama China.

  • Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    May 26, 2020 23:28

    Kuingia madarakani Rais Donald Trump wa Marekani huko White House mnamo tarehe 20 Januari 2017 kulifungua ukurasa mpya wa siasa za upande mmoja za nchi hiyo duniani.

  • Umoja wa Ulaya: Tumo katika kushuhudia kusambaratika nguvu za Marekani duniani

    Umoja wa Ulaya: Tumo katika kushuhudia kusambaratika nguvu za Marekani duniani

    May 25, 2020 22:26

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amegusia kumalizika zama za udhibiti wa kila kitu wa Marekani duniani na ameutaka Umoja wa Ulaya kubuni mikakati na stratijia mpya na makini za kuamiliana na China.

  • China yapinga kulipa hasara kwa sababu ya kuenea virusi vya Corona

    China yapinga kulipa hasara kwa sababu ya kuenea virusi vya Corona

    May 25, 2020 02:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amejibu matamshi ya viongozi wa Marekani kwamba serikali ya Beijing inatakiwa kulipa hasara inayotokana na kuenea virusi vya Corona na kusisitiza kuwa, kupata fidia kutoka China ni 'njozi batili.'

  • China: Dawa mpya tuliyotengeza ina uwezo wa kuzima janga la corona 'bila kuhitaji chanjo'

    China: Dawa mpya tuliyotengeza ina uwezo wa kuzima janga la corona 'bila kuhitaji chanjo'

    May 19, 2020 10:56

    Maabara moja nchini China ambayo imekuwa ikitengeza dawa ya kutibu maradhi ya Covid-19 yanayosababishwa na virusi vya corona imesema, inaamini dawa hiyo iliyotengeza ina uwezo wa kuzima janga la maradhi hayo liliyoikumba dunia nzima bila kuhitaji chanjo.

  • Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    May 19, 2020 05:54

    Vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela yanaendelea katika hali ambayo, kivitendo nchi hiyo ya Amerika ya Latini ikipata msaada wa mataifa kama Iran, China na Russia imefanikiwa kuyapatia ufumbuzi akthari ya matatizo yaliyosababishwa na vikwazo vya Washington.

  • Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China

    Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China

    May 19, 2020 03:09

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS