Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Jun 12, 2020 03:32

    Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imekuwa ikipinga suala la kuongezeka nguvu, ustawi na satua ya China katika uwanja wa kimataifa na imeitambua nchi hiyo kuwa ni tishio kwa ulimwengu wa Magharibi ikizitaka nchi za Ulaya kupunguza uhusiano wao na Beijing.

  • Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 05, 2020 22:23

    Moja kati ya vipengee muhimu vya mapatano ya nyuklia ya maarufu kwa kifupi ka jina la JCPOA ni azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lina kipengee kuhusu kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa mapatano hayo.

  • Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari

    Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari

    Jun 04, 2020 21:55

    Waziri wa Ulinzi wa China amesema uhasama wa kistratijia wa nchi yake na Marekani umeingia kipindi hatari baada ya Washington kukithirisha sera zake za 'kuikandamiza na kukabiliana' na China baada ya janga la COVID-19 kuikumba dunia.

  • Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China

    Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China

    May 31, 2020 04:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya India imetupilia mbali ombi la rais wa Marekani Donald Trump la kuwa mpatanishi kati ya New Delhi na Beijing kwa ajili ya kutatua tofauti zao za mpakani.

  • China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    May 30, 2020 23:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amelaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia wanafunzi wa China katika nchi hiyo.

  • Hatimaye kundi la kwanza la raia wa kigeni larejea China baada ya kupungua hatari ya Corona

    Hatimaye kundi la kwanza la raia wa kigeni larejea China baada ya kupungua hatari ya Corona

    May 30, 2020 12:34

    Kufuatia kupungua kwa hatari ya virusi vya Corona nchini China, kundi la kwanza la raia wa kigeni limeingia nchi hiyo.

  • EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    May 30, 2020 03:41

    Umoja wa Ulaya na China zimekosoa vikali hatua ya Marekani ya kufuta misamaha ya vikwazo inayohusiana na makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran ya JCPOA.

  • Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    May 28, 2020 21:52

    Waziri wa Ulinzi wa China amesema kuwa ushindani wa nchi hiyo na Marekani umeingia katika nukta nyeti na hatari na kwamba China ni lazima iimarishe zaidi moyo wa kusimama imara.

  • China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    May 28, 2020 12:51

    Waziri Mkuu wa China ameelezea kushtadi mgogoro kati ya nchi yake na Marekani

  • Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    May 28, 2020 04:52

    Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nyingi tofauti hususan wakati huu wa mgogoro wa maambukizi ya corona. Hivi sasa bara la Ulaya limekumbwa na mgogoro ambao haujawahi kutokea barani humo. Si hayo tu, lakini mivutano iliyodhihiri zaidi ndani ya Umoja wa Ulaya wakati huu wa corona, ni msiba mwingine uliolikumba bara hilo na kuzidi kuonesha udhaifu wake katika nyuga tofauti hasa za kiafya na kiuchumi na utegemezi wa nchi hizo kwa mataifa mengine kama China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS