Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yatia shaka kuhusu sababu ya kifo cha balozi wake huko Israel

    China yatia shaka kuhusu sababu ya kifo cha balozi wake huko Israel

    May 18, 2020 21:55

    Gazeti moja la China limeandika kwamba, kifo cha balozi wa nchi hiyo katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kilitokea baada ya yeye kukosoa siasa chafu za kupenda kujitanua za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo.

  • Indhari ya António Guterres juu ya taathira hasi ya tofauti za China na Marekani kwenye juhudi za kukabiliana na Corona

    Indhari ya António Guterres juu ya taathira hasi ya tofauti za China na Marekani kwenye juhudi za kukabiliana na Corona

    May 17, 2020 20:02

    Kuenea kwa virusi vya Corona duniani bado kumewafanya watu kuwa wahanga, huku hofu yake ikibainisha kwamba janga hilo litazizidishia matatizo ya kiuchumi na kijamii nchi nyingi za dunia.

  • Pentagon ina wasiwasi Marekani itashindwa endapo itaingia vitani na China

    Pentagon ina wasiwasi Marekani itashindwa endapo itaingia vitani na China

    May 17, 2020 03:31

    Baadhi ya duru katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon zimeonya kuwa kutokana na mazoezi ya karibuni kabisa yaliyofanywa na jeshi la nchi hiyo, endapo jeshi hilo litaingia vitani na China katika Bahari ya Mediterania litashindwa katika vita hivyo.

  • Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    May 16, 2020 02:05

    Tangu alipoingia madarkani Donald Trump huko Marekani, rais huyo mwenye majigambo mengi amekuwa akifuata siasa maalumu dhidi ya China na kuishinikiza Beijing katika pande mbalimbali.

  • Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China

    Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China

    May 15, 2020 08:00

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema haoni umuhimu wowote wa kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Xi Jinping, kauli ambayo inaweka bayana kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Beijing wakati huu wa janga la kimataifa la corona.

  • Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China

    Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China

    May 14, 2020 03:22

    Msemaji wa Ikulu ya Algeria amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na China ni mzuri, uko wazi na ni wa kipekee, hivyo hamaki za wengine haziishughulishi Algiers na itaendeleza uhusiano wake huo na China kama kawaida.

  • China yakaribisha kujiunga na ubunifu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika kupambana na Corona

    China yakaribisha kujiunga na ubunifu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika kupambana na Corona

    May 07, 2020 21:50

    Serikali ya China imekaribisha kujiunga na ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa ajili ya kukabiliana na virusi hatari vya Corona.

  • Uingereza na Russia zapinga madai ya Marekani kuhusu China na chanzo cha COVID-19

    Uingereza na Russia zapinga madai ya Marekani kuhusu China na chanzo cha COVID-19

    May 06, 2020 20:08

    Waziri wa Afya wa Uingereza amesema kuwa, madai ya Marekani kuwa chanzo cha kirusi cha corona ni katika maabara, hayana ushahidi wowote.

  • Kuendelea mgogoro wa Corona na sisitizo la Marekani la kuiadhibu China

    Kuendelea mgogoro wa Corona na sisitizo la Marekani la kuiadhibu China

    May 03, 2020 21:52

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa Corona na kuongezeka idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo nchini Marekani, Rais Donald Trump anaendelea kufanya njama za kuitwisha mzigo wa suala hilo serikali ya China ili kwa njia hiyo aweze kusalimika na ukosoaji pamoja na mashinikizo ya kijamii kutokana na utendaji mbovu wa serikali yake katika kukabiliana na Corona.

  • Kushindwa kupitishwa azimio la kusitisha vita dunia nzima kutokana na tofauti za Marekani na China

    Kushindwa kupitishwa azimio la kusitisha vita dunia nzima kutokana na tofauti za Marekani na China

    May 01, 2020 21:03

    Kuenea virusi vya corona dunia nzima na maradhi ya COVID-19 yanayosababishwa na virusi hivyo na hali maalumu ya dharura inayotawala ulimwenguni hivi sasa kumeongeza maradufu umuhimu wa kuwepo mshikamano mkubwa zaidi kimataifa; na kwa sababu hiyo Umoja wa Mataifa umetaka kukomeshwa mapigano yanayoendelea katika maeneo tofauti ya dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS