-
China yatia shaka kuhusu sababu ya kifo cha balozi wake huko Israel
May 18, 2020 21:55Gazeti moja la China limeandika kwamba, kifo cha balozi wa nchi hiyo katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kilitokea baada ya yeye kukosoa siasa chafu za kupenda kujitanua za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo.
-
Indhari ya António Guterres juu ya taathira hasi ya tofauti za China na Marekani kwenye juhudi za kukabiliana na Corona
May 17, 2020 20:02Kuenea kwa virusi vya Corona duniani bado kumewafanya watu kuwa wahanga, huku hofu yake ikibainisha kwamba janga hilo litazizidishia matatizo ya kiuchumi na kijamii nchi nyingi za dunia.
-
Pentagon ina wasiwasi Marekani itashindwa endapo itaingia vitani na China
May 17, 2020 03:31Baadhi ya duru katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon zimeonya kuwa kutokana na mazoezi ya karibuni kabisa yaliyofanywa na jeshi la nchi hiyo, endapo jeshi hilo litaingia vitani na China katika Bahari ya Mediterania litashindwa katika vita hivyo.
-
Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?
May 16, 2020 02:05Tangu alipoingia madarkani Donald Trump huko Marekani, rais huyo mwenye majigambo mengi amekuwa akifuata siasa maalumu dhidi ya China na kuishinikiza Beijing katika pande mbalimbali.
-
Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China
May 15, 2020 08:00Rais Donald Trump wa Marekani amesema haoni umuhimu wowote wa kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Xi Jinping, kauli ambayo inaweka bayana kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Beijing wakati huu wa janga la kimataifa la corona.
-
Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China
May 14, 2020 03:22Msemaji wa Ikulu ya Algeria amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na China ni mzuri, uko wazi na ni wa kipekee, hivyo hamaki za wengine haziishughulishi Algiers na itaendeleza uhusiano wake huo na China kama kawaida.
-
China yakaribisha kujiunga na ubunifu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika kupambana na Corona
May 07, 2020 21:50Serikali ya China imekaribisha kujiunga na ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa ajili ya kukabiliana na virusi hatari vya Corona.
-
Uingereza na Russia zapinga madai ya Marekani kuhusu China na chanzo cha COVID-19
May 06, 2020 20:08Waziri wa Afya wa Uingereza amesema kuwa, madai ya Marekani kuwa chanzo cha kirusi cha corona ni katika maabara, hayana ushahidi wowote.
-
Kuendelea mgogoro wa Corona na sisitizo la Marekani la kuiadhibu China
May 03, 2020 21:52Sambamba na kuendelea mgogoro wa Corona na kuongezeka idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo nchini Marekani, Rais Donald Trump anaendelea kufanya njama za kuitwisha mzigo wa suala hilo serikali ya China ili kwa njia hiyo aweze kusalimika na ukosoaji pamoja na mashinikizo ya kijamii kutokana na utendaji mbovu wa serikali yake katika kukabiliana na Corona.
-
Kushindwa kupitishwa azimio la kusitisha vita dunia nzima kutokana na tofauti za Marekani na China
May 01, 2020 21:03Kuenea virusi vya corona dunia nzima na maradhi ya COVID-19 yanayosababishwa na virusi hivyo na hali maalumu ya dharura inayotawala ulimwenguni hivi sasa kumeongeza maradufu umuhimu wa kuwepo mshikamano mkubwa zaidi kimataifa; na kwa sababu hiyo Umoja wa Mataifa umetaka kukomeshwa mapigano yanayoendelea katika maeneo tofauti ya dunia.