Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Serikali ya China: Virusi vya Corona vimeuwa watu 106 hadi sasa, kesi mpya 1,771 zimeripotiwa

    Serikali ya China: Virusi vya Corona vimeuwa watu 106 hadi sasa, kesi mpya 1,771 zimeripotiwa

    Jan 28, 2020 04:08

    China imeripoti kuaga dunia watu wengine kadhaa na kuongezeka idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona huku wanasayansi wakijaribu kukielewa kirusi hicho kipya na namna kinavyoenea.

  • WHO: Kuna uwezekano wa kuongezeka maambukizi ya kirusi cha Corona huko China

    WHO: Kuna uwezekano wa kuongezeka maambukizi ya kirusi cha Corona huko China

    Jan 24, 2020 23:42

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano kesi za maambukizo ya kirusi cha Corona zikaongezeka huko China na kwamba ni mapema mno kutathmini makali ya maambukizo hayo.

  • Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Jan 24, 2020 11:26

    Nchi za Afrika mashariki zimetangaza hatua na mipango ya kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya kupumua huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mlipuko wa virusi hivyo nchini China ikiongezeka na kufikia 26.

  • "Kirusi cha China" chazusha hofu duniani, watu 6 wameaga dunia hadi sasa

    Jan 21, 2020 09:11

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, litafanya kikao kesho Jumatano kutazama uwezekano wa kutangaza tahadhari ya kimataifa ya afya ya umma baada ya China kuthibitisha kwamba, kirusi hicho kinaambukizwa kupitia mawasiliano baina ya binadamu.

  • Kupinga Russia na China taarifa ya upande mmoja ya Marekani kuhusiana na matukio ya Iraq

    Kupinga Russia na China taarifa ya upande mmoja ya Marekani kuhusiana na matukio ya Iraq

    Jan 07, 2020 23:17

    Jinai za Marekani huko Iraq hususan shambulio lake la kijeshi dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya al-Hashd al-Shaabi katika mpaka wa pamoja wa Iraq na Syria, zimekabiliwa na malalamiko makubwa ya Wairaqi ambao walifanya maandamano na kukusanyika katika ubalozi wa Marekani mjini Baghdad.

  • Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Dec 31, 2019 04:02

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamekutana mjini Beijing na kujadiliana juu ya njia na mikakati ya kuyanusuru makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanaendelea kama ilivyopangwa

    Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanaendelea kama ilivyopangwa

    Dec 28, 2019 09:59

    Mazoezi makubwa ya majeshi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China leo yameingia siku ya pili na yanaendelea kama ilivyopangwa.

  • Mousavi: Wadau wote duniani wana mchango katika zama za baada ya Magharibi

    Mousavi: Wadau wote duniani wana mchango katika zama za baada ya Magharibi

    Dec 28, 2019 00:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hivi sasa, sisi tunaishi katika dunia ya baada ya enzi za Magharibi, ambapo wadau wote duniani wana mchango katika mahusiano ya zama hizo."

  • Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Iran, China, Russia; kigezo chenye ufanisi cha kieneo kuhusu usalama

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Iran, China, Russia; kigezo chenye ufanisi cha kieneo kuhusu usalama

    Dec 27, 2019 20:55

    Kufanyika mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China katika eneo lenye umuhimu wa kistratijia la kaskazini mwa Bahari ya Hindi na Bahari ya Oman ni ushirikiano wa kieneo usiohusisha madola ajinabi.

  • Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Dec 27, 2019 09:14

    Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema kuwa nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS