-
Serikali ya China: Virusi vya Corona vimeuwa watu 106 hadi sasa, kesi mpya 1,771 zimeripotiwa
Jan 28, 2020 04:08China imeripoti kuaga dunia watu wengine kadhaa na kuongezeka idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona huku wanasayansi wakijaribu kukielewa kirusi hicho kipya na namna kinavyoenea.
-
WHO: Kuna uwezekano wa kuongezeka maambukizi ya kirusi cha Corona huko China
Jan 24, 2020 23:42Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano kesi za maambukizo ya kirusi cha Corona zikaongezeka huko China na kwamba ni mapema mno kutathmini makali ya maambukizo hayo.
-
Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona
Jan 24, 2020 11:26Nchi za Afrika mashariki zimetangaza hatua na mipango ya kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya kupumua huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mlipuko wa virusi hivyo nchini China ikiongezeka na kufikia 26.
-
"Kirusi cha China" chazusha hofu duniani, watu 6 wameaga dunia hadi sasa
Jan 21, 2020 09:11Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, litafanya kikao kesho Jumatano kutazama uwezekano wa kutangaza tahadhari ya kimataifa ya afya ya umma baada ya China kuthibitisha kwamba, kirusi hicho kinaambukizwa kupitia mawasiliano baina ya binadamu.
-
Kupinga Russia na China taarifa ya upande mmoja ya Marekani kuhusiana na matukio ya Iraq
Jan 07, 2020 23:17Jinai za Marekani huko Iraq hususan shambulio lake la kijeshi dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya al-Hashd al-Shaabi katika mpaka wa pamoja wa Iraq na Syria, zimekabiliwa na malalamiko makubwa ya Wairaqi ambao walifanya maandamano na kukusanyika katika ubalozi wa Marekani mjini Baghdad.
-
Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA
Dec 31, 2019 04:02Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamekutana mjini Beijing na kujadiliana juu ya njia na mikakati ya kuyanusuru makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanaendelea kama ilivyopangwa
Dec 28, 2019 09:59Mazoezi makubwa ya majeshi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China leo yameingia siku ya pili na yanaendelea kama ilivyopangwa.
-
Mousavi: Wadau wote duniani wana mchango katika zama za baada ya Magharibi
Dec 28, 2019 00:36Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hivi sasa, sisi tunaishi katika dunia ya baada ya enzi za Magharibi, ambapo wadau wote duniani wana mchango katika mahusiano ya zama hizo."
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Iran, China, Russia; kigezo chenye ufanisi cha kieneo kuhusu usalama
Dec 27, 2019 20:55Kufanyika mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China katika eneo lenye umuhimu wa kistratijia la kaskazini mwa Bahari ya Hindi na Bahari ya Oman ni ushirikiano wa kieneo usiohusisha madola ajinabi.
-
Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China
Dec 27, 2019 09:14Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema kuwa nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.