Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Mataifa yenye uchumi mkubwa Asia, yapinga siasa za upande mmoja za Marekani

    Mataifa yenye uchumi mkubwa Asia, yapinga siasa za upande mmoja za Marekani

    May 03, 2019 00:07

    Nchi za China, Japan na Korea Kusini ambazo zinajulikana kama nchi zenye uwezo mkubwa wa kiuchumii barani Asia, zimetangaza kupinga siasa mbovu za upande mmoja za Marekani katika nyuga za kimataifa.

  • Viongozi wa dunia washiriki Kongamano la Barabara ya Hariri, China; Marekani yatengwa

    Viongozi wa dunia washiriki Kongamano la Barabara ya Hariri, China; Marekani yatengwa

    Apr 27, 2019 03:08

    Zaidi ya viongozi 40 na wajumbe elfu tano kutoka nchi mbalimbali duniani wanakongamana katika Mkutano wa "Ukanda Mmoja na Njia Moja" katika mji mkuu wa China, Beijing uliong'oa nanga hapo jana.

  • Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China

    Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China

    Apr 27, 2019 02:27

    Donald Trump ni rais wa nchi ya kibeberu ya Marekani ambaye amekuja na siasa za kudharau na kupuuza sheria na mikataba yote ya kimataifa na ajenda yake kuu ni kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha. Hivi sasa dunia imekumbwa na changamoto kubwa inayotokana na kung'ang'ania Marekani kujitoa katika mikataba ya kudhibitiu silaha.

  • China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Apr 12, 2019 10:49

    Mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa mapatano muhimu sana katika fremu ya usalama na amani ya kimataifa. Lakini pamoja na hayo, mnamo Mei 8 mwaka 2018, Marekani ilichukua uamuzi wa pande moja na kujiondoa katika mapatano hayo.

  • Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Apr 07, 2019 02:33

    Mgogoro wa kisiasa wa sasa nchini Venezuela ulianza 10 Januari mwaka huu wakati Rais Nicolas Maduro alipoapishwa baada ya kushinda katika uchaguzi wa Rais uliosusiwa na wapinzani na hivyo kuchukua usukani wa kuiongoza nchi hiyo katika duru ya pili.

  • Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China

    Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China

    Apr 05, 2019 01:55

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro aliyechaguliwa kihalali na kwa njia ya demokrasia.

  • Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Italia

    Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Italia

    Mar 29, 2019 00:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ametoa vitisho vipya dhidi ya nchi muitifaki wa Washington yaani Italia kwa kudai kuwa nchi kama Italia ambazo zinataka kujiunga na mradi wa kiuchumi wa China uliopewa jina la "Njia ya Hariri" zitambue kuwa zitapata hasara kubwa ya kisiasa.

  • Rais Bashar al-Assad: Vikwazo vya kiuchumi vya Marekani ni njia mpya ya vita dhidi ya Syria

    Rais Bashar al-Assad: Vikwazo vya kiuchumi vya Marekani ni njia mpya ya vita dhidi ya Syria

    Mar 11, 2019 04:46

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, vita dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu vimechukua mkondo mpya ambapo sasa vimeelekezwa katika mzingiro na vita vya kiuchumi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain adhihakiwa kwa kujikomba kwa Bin Salman

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain adhihakiwa kwa kujikomba kwa Bin Salman

    Feb 23, 2019 12:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain Khalid bin Ahmed Al Khalifah amedhihakiwa na kubezwa kimataifa kwa kumlinganisha mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na Ukuta Mkubwa wa China.

  • Russia na China zamuunga mkono Rais Maduro dhidi ya njama za Marekani

    Russia na China zamuunga mkono Rais Maduro dhidi ya njama za Marekani

    Feb 23, 2019 00:15

    China na Russia zimetangaza uungaji mkono wao kwa Venezuela na kuonya kuhusu hatua yoyote ya kuishambulia nchi hiyo ya Amerika ya Latini ambako wapinzani wanamejiandaa kupokea vifurushi vya misaada kutoka Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS