-
Iran na China, washirika wa kistratijia barani Asia
Feb 21, 2019 03:31Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu ya Iran (Bunge) na Rais wa China wamesisitiza udharura wa kupanuliwa zaidi ushirikiano wa kistratijia wa nchi hizo mbili.
-
Spika Larijani: China ni mshirika wa kuaminika wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 20, 2019 11:21Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi ya China ni mshirika wa kiistratejia na wa kuaminika wa Iran.
-
Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran
Feb 18, 2019 11:44Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, subira na uvumilivu wa wananchi na serikali ya Iran una mipaka na kwamba, madola ya Ulaya hayapaswi kutumia muda kwa ajili ya kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran.
-
Uturuki yaitaka China ifunge vituo vya kuwazuilia Waislamu wa Uighur
Feb 10, 2019 09:54Serikali ya Uturuki imetaja miamala ya China kwa Waislamu wa jamii ya Uighur kama fedheha kwa ubinadamu, huku ikiitaka ifunge vituo vilivyotengwa makhsusi kwa ajili ya kuwazuilia watu wa jamii hiyo ya walio wachache.
-
China yakosoa ripoti ya Marekani kuhusu shirika la WTO
Feb 07, 2019 03:46Wizara ya Biashara ya China imekosoa ripoti iliyotolewa na Marekani kuhusu Shirika la Biashara Duniani (WTO) ambayo imeituhumu Beijing kwamba inaunga mkono misimamo na hatua za upande mmoja na kuitaja ripoti hiyo kuwa isiyo na ukweli wowote.
-
China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela
Jan 29, 2019 11:30China sanjari na kutangaza uungaji mkono wake kwa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, imesema Marekani inapaswa kubebeshwa dhima kwa jambo lolote baya litakalotokea katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao
Jan 17, 2019 04:18Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.
-
China yapasisha "kukomunistishwa" utamaduni wa Kiislamu
Jan 07, 2019 23:07Serikali ya China imepasisha sheria ya kuoanisha utamaduni wa Kiislamu na mafundisho ya kikomunisti.
-
Sisitizo la Rais Xi Jinping wa China juu ya utayarifu wa jeshi la nchi yake kwa ajili ya vita
Jan 07, 2019 00:53Rais Xi Jinping wa China amelitaka jeshi la nchi yake kujiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana na nchi ambayo hajaitaja.
-
China yafanyia majaribio "Mama wa Mabomu Yote"
Jan 05, 2019 23:07Kampuni ya kutengeneza asilaha ya China imefanya majaribio ya mafaniko ya kombora lenye nguvu zaidi lisilo la nyuklia lililopewa jina la "Mama wa Mabomu Yote".