Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

chuki dhidi ya Uislamu

  • Ofisi ya Uwakilishi ya Iran mjini New York: Wakati umewadia kwa jamii ya kimataifa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Ofisi ya Uwakilishi ya Iran mjini New York: Wakati umewadia kwa jamii ya kimataifa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 16, 2023 11:15

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yaliyo na makao makuu yao mjini New York Marekani, imeandika kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu kwamba: "Iran inasisitiza mshikamano wake kamili na wahanga wa mashambulio yanayochochewa na chuki dhidi ya Uislamu kote duniani."

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Wenye chuki dhidi ya Uislamu hawaamini maadili na dini

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Wenye chuki dhidi ya Uislamu hawaamini maadili na dini

    Mar 15, 2023 12:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba: Wale wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu hawaamini maadili yoyote ya kibinadamu na dini za Mwenyezi Mungu.

  • Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Mar 12, 2023 12:12

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.

  • Malaysia: Chuki dhidi ya Uislamu inapaswa kujinaishwa

    Malaysia: Chuki dhidi ya Uislamu inapaswa kujinaishwa

    Feb 04, 2023 07:21

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Malaysia ametoa mwito wa kujinaishwa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Kisingizio cha Sweden cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu; chuki dhidi ya Uislamu nyuma ya pazia la uhuru wa kusema

    Kisingizio cha Sweden cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu; chuki dhidi ya Uislamu nyuma ya pazia la uhuru wa kusema

    Jan 24, 2023 02:51

    Tobias Billstrom, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Sweden ameandika ujumbe katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter akitoa radiamali ya hatua ya mataifa mbalimbali ya dunia ya kukosoa kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu wa Qur'ani.

  • Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Oct 06, 2022 06:59

    Mitazamo hasi na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka kwa kiwango cha kutia wasiwasi nchini Ujerumani.

  • India yaipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo

    India yaipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo

    Sep 29, 2022 12:09

    India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

    Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

    Sep 06, 2022 10:33

    Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea.

  • Kesi za kushambuliwa Waislamu nchini Austria zaongezeka

    Kesi za kushambuliwa Waislamu nchini Austria zaongezeka

    Aug 14, 2022 07:21

    Jinai za kushambuliwa Waislamu kwa misingi ya dini yao zimeongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Austria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS