Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

chuki dhidi ya Uislamu

  • Serikali ya Ufaransa yaendeleza hujuma dhidi ya Uislamu, yazuia kampeni ya EU ya kutetea hijabu

    Serikali ya Ufaransa yaendeleza hujuma dhidi ya Uislamu, yazuia kampeni ya EU ya kutetea hijabu

    Nov 04, 2021 07:49

    Kampeni ya Ulaya ya kupambana na hujuma dhidi ya Uislamu na kutetea vazi la staha la hijabu imesimamishwa kutokana na mashinikizo ya serikali ya Ufaransa.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan asisitiza udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Waziri Mkuu wa Pakistan asisitiza udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Sep 25, 2021 07:19

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema, kuna udharura wa kukabiliana na uenezaji chuki dhidi ya Uislamu kieneo na kimataifa.

  • Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Sep 11, 2021 09:39

    Jana ikiwa imebakia siku moja kabla ya kutimia mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 ambayo yaliua watu karibu elfu tatu, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa ujumbe akitaka kuwepo umoja na mshikamano wa kitaifa nchini Marekani.

  • Mwanaharakati wa Ufaransa: Sheria ya karibuni dhidi ya Uislamu inahalalisha ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Mwanaharakati wa Ufaransa: Sheria ya karibuni dhidi ya Uislamu inahalalisha ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Aug 02, 2021 10:14

    Mwanaharakati mmoja wa haki za binadamu wa nchini Ufaransa amesema kuwa sheria iliyopitishwa karibuni na bunge la nchi hiyo inahalalisha kisheria kufanyika ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu wa nchi hiyo.

  • Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Jun 08, 2021 18:46

    Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Canada limetoa wito wa kutokomezwa haraka sera za chuki na kupiga vita Uislamu (Islamophobia) nchini humo baada ya jinai ya kutisha ya dereva mmoja kuwagonga watu watano wa familia moja na kuua wanne miongoni mwao.

  • Mwenye chuki dhidi ya Uislamu aua Waislamu 4 Canada kwa gari

    Mwenye chuki dhidi ya Uislamu aua Waislamu 4 Canada kwa gari

    Jun 08, 2021 08:11

    Dereva mmoja mwenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Canada ameua watu wanne wa familia moja na kujeruhi mwingine vibaya, baada ya kuwagonga kwa makusudi na lori lake katika mkoa wa Ontario.

  • Muslim Advocates yaitaka Facebook ikomeshe chuki dhidi ya Uislamu

    Muslim Advocates yaitaka Facebook ikomeshe chuki dhidi ya Uislamu

    Apr 10, 2021 02:35

    Taasisi ya Muslim Advocates imewasilisha mashtaka mahakamani dhidi ya Facebook, Mkurugenzi Mtendaji wake, Mark Zuckerberg na kiongozi nambari mbili wa kampuni hiyo, Sheryl Sandberg ikiitaka Facebook kutilia maanani harakati zinazoeneza chuki na uhasama dhidii ya Waislamu katika mtandao huo.

  • Shamkhani: Kauli za Macron dhidi ya Uislamu zinaonyesha ni mwanagenzi wa siasa

    Shamkhani: Kauli za Macron dhidi ya Uislamu zinaonyesha ni mwanagenzi wa siasa

    Oct 26, 2020 11:36

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu yanayotolewa na Rais Emmanuel Macron yamedhihirisha uanagenzi wa kisiasa alionao kiongozi huyo wa Ufaransa.

  • Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 26, 2020 12:36

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema serikali ya Kihindu ya India inaunga mkono na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Rais Rouhani: Waislamu wasimame kidete kutetea na kulinda thamani za Uislamu

    Rais Rouhani: Waislamu wasimame kidete kutetea na kulinda thamani za Uislamu

    Sep 11, 2020 04:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani kitendo cha jarida la Charlie Hebdo la Ufaransa cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, ameyataka mataifa ya Kiislamu kusimama kidete kutetea na kulinda thamani, utamaduni na matukufu ya dini yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS