Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • AstraZeneca imeondoa sokoni chanjo yake ya Covid-19

    AstraZeneca imeondoa sokoni chanjo yake ya Covid-19

    May 09, 2024 07:09

    Kampuni kubwa ya Madawa ya AstraZeneca imeliomba rasmi Shirika la Madawa la Ulaya kuondoa idhini yake ya chanjo ya COVID-19.

  • China yatoa tahadhari ya kuibuka tena mripuko wa COVID-19 kupitia spishi ya aina nyingine

    China yatoa tahadhari ya kuibuka tena mripuko wa COVID-19 kupitia spishi ya aina nyingine

    Jan 16, 2024 06:54

    Maafisa wa Afya nchini China wametahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena mripuko wa ugonjwa wa COVID-19 katika mwezi huu wa Januari, utakaochochewa na kuongezeka maambukizi ya spishi mpya ya JN.1.

  • Mgogoro wa nishati umeua watu wengi Ulaya kuliko Corona

    Mgogoro wa nishati umeua watu wengi Ulaya kuliko Corona

    May 28, 2023 06:47

    Takwimu rasmi zinaonesha kuwa, mgogoro wa nishati barani Ulaya katika msimu uliopita wa baridi kali ulisababisha maafa makubwa katika bara hilo kuliko janga la Corona.

  • Mkurugenzi Mkuu wa WHO atabiri mwisho wa janga la Corona

    Mkurugenzi Mkuu wa WHO atabiri mwisho wa janga la Corona

    Mar 15, 2023 02:23

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema janga la dunia nzima la ugonjwa wa Covid-19 litamalizika kufikia mwishoni mwa mwaka huu wa 2023.

  • Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu: Dunia haijajiandaa kwa maafa makubwa ya baadaye

    Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu: Dunia haijajiandaa kwa maafa makubwa ya baadaye

    Jan 31, 2023 02:22

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu jana ilitangaza kuwa, nchi zote duniani bado "hazijajiandaa" kukabiliana na maafa makubwa ya baadaye. Imeongeza kuwa, majanga mbalimbali ya kiafya yanaweza kuibuka kwa wakati mmoja sambamba na maafa yanayohusiana na mabadiliko yatabianchi.

  • China yarekodi vifo karibu 60,000 vinavyohusishwa na COVID-19

    China yarekodi vifo karibu 60,000 vinavyohusishwa na COVID-19

    Jan 15, 2023 06:59

    China imesema watu karibu 60,000 waliaga dunia kutokana na ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha mwezi mmoja, huku nchi hiyo ikakabiliana na wimbi jipya la maambukizi ya ugonjwa huo.

  • Watu 5,000 wanaaga dunia kila siku China kutokana na spishi mpya ya Corona

    Watu 5,000 wanaaga dunia kila siku China kutokana na spishi mpya ya Corona

    Dec 24, 2022 06:11

    China imeingia katika wimbi jipya la maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19, kutokana na spishi ndogo ya BF.7 inayotokana na spishi ya Omicron BA. 5 ya virusi vya Corona.

  • WHO: Corona ilisababisha vifo 63,000 zaidi vya malaria 2021

    WHO: Corona ilisababisha vifo 63,000 zaidi vya malaria 2021

    Dec 10, 2022 02:23

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuvurugika utoaji wa huduma za afya kutokana na janga la Corona kulipelekea kuongezeka vifo vya wagonjwa wa malaria duniani mwaka jana 2021.

  • WHO: Ulaya inaingia katika wimbi jipya la maambukizi ya COVID-19

    WHO: Ulaya inaingia katika wimbi jipya la maambukizi ya COVID-19

    Oct 13, 2022 10:51

    Shirika la Afya Duniani (WHO) na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Ulaya (ECDC) zimeonya kuhusu ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika nchi za Ulaya, katika kile kilichotajwa ni wimbi jipya la msambao wa maradhi hayo barani humo.

  • Afrika CDC: Janga la Corona bado ni tishio kwa bara la Afrika

    Afrika CDC: Janga la Corona bado ni tishio kwa bara la Afrika

    Sep 16, 2022 04:00

    Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema ugonjwa wa COVID-19 bado ni tishio kwa nchi za Afrika, kwa kuzingatia idadi ndogo ya watu waliopiga chanjo za kukabiliana na maradhi hayo barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS