-
Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani
May 10, 2018 10:01Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Wanachuo na wahadhiri nchini Iran walaani matamshi machafu ya rais wa Marekani
May 09, 2018 22:53Wahadhiri, wanachuo na jumuiya za wanachuo nchini wameandamana na kukusanyika mbele ya 'Pango la Ujasusi' la uliokuwa ubalozi wa Marekani hapa mjini Tehran kulaani maneno machafu aliyotoa rais wa Marekani.
-
Yukiya Amano: Iran imefungamana kikamilifu na makubaliano ya nyuklia
May 09, 2018 09:40Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa mara nyingine tena amethibitisha kwamba, Iran imeheshimu na kufungamana kikamilifu na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Walimwengu wajibu ujuba wa Marekani wa kujitoa katika JCPOA, Israel na Saudia zamuunga mkono Trump
May 09, 2018 03:27Umoja wa Ulaya, viongozi mbalimbali wa nchi za Ulaya, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi wametoa majibu makali dhidi ya hatua ya kijuba ya rais wa Marekani ya kupuuza maamuzi ya walimwengu na ya Umoja wa Mataifa na kutangaza kujitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.
-
Bloomberg: Mashirika ya Boeing na Airbus ya Marekani yapata hasara kubwa kwa kujitoa Trump katika JCPOA
May 09, 2018 03:21Mashirika mawili makubwa ya kutengeneza ndege ya Boeing na Airbus ya nchini Marekani yatapata hasara kubwa ya dola bilioni 40 baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Wakili wa Marekani: Nyaraka za kashfa ya ngono zitamfanya Trump alazimike kujiuzulu
May 06, 2018 22:29Wakili wa muigizaji mmoja wa filamu za ngono nchini Marekani ambaye amedai kuwa aliwahi huko nyuma kuwa na uhusiano wa kimapenzi na rais wa nchi hiyo amesema, kuwekwa hadharani nyaraka za sakata hilo kutamfanya Trump alazimike kujiuzulu.
-
Matamshi ya Trump yaamsha hasira za wananchi na viongozi wa Ufaransa na Uingereza
May 06, 2018 12:07Matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mashambulio ya kigaidi yaliyotokea Ufaransa na Uingereza yameamsha hasira za wananchi na viongozi wa nchi hizo.
-
Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni
May 06, 2018 03:27Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Rais wa Marekani na utawala wa Kizayuni na kutilia mkazo kuwa wananchi wa Iran hawapendi vita, lakini wanajilinda na kujitetea kwa dhati.
-
Indhari ya Russia kuhusu kufutwa makubaliano ya JCPOA na taathira zake mbaya
May 05, 2018 07:39Serikali ya Russia imetoa taarifa ikisisitiza kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni utaratibu ulio na mlingano weenye manufaa ya pande zote na kutahadharisha kuwa kuvunjwa makubaliano hayo kutakuwa kwa madhara. Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Russia, kuvurugwa mlingano unaolegalega wa kimaslahi ndani ya makubaliano ya JCPOA kutakuwa na taathira kuu kwa usalama wa kimataifa na muundo unaopiga marufuku uenezaji wa silaha za nyuklia.
-
Kuna uwezekano wa Trump kufikishwa mahakamani ili kusailiwa
May 02, 2018 03:14Gazeti la Washington Post linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa kuna uwezekano rais wa nchi hiyo Donald Trump akatakiwa afike mahakamani ili kusailiwa kuhusiana na kadhia ya kuingilia Russia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2016.