-
Trump aliwalipa wanawake 100 wanyamaze kimya kuhusu uhusiano haramu wa kijinsia
Jan 14, 2018 23:48Rais Donald Trump wa Marekani aliwalipa pesa wanawake 100 ili wanyamaze kimya kuhusu uhusiano haramu wa kijinsia aliokuwa nao.
-
Wakenya wamlaani vikali Rais Trump wa Marekani kwa kuzitaja nchi za Afrika kuwa 'chafu'
Jan 14, 2018 12:26Wananchi wa matabaka mbali mbali nchini Kenya wamemlaani vikali rais wa Marekani, Donald Trump ambaye ametoa matusi na matamshi ya kibaguzi kuhusu nchi za Afrika.
-
Matamshi ya kudhalilisha ya Trump kuhusu nchi za Kiafrika yakabiliwa na wimbi la ukosoaji
Jan 13, 2018 23:24Mabalozi wa nchi 54 za Kiafrika katika Umoja wa Mataifa wamelaani matamshi ya kudhalilisha yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Waafrika.
-
Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri
Jan 12, 2018 10:32Asasi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimelaani matamshi machafu yaliyojaa chuki, kejeli na dharau yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akiashiria wahajiri kutoka nchi kadhaa duniani hususan za Afrika wanaoenda kutafuta hifadhi Marekani.
-
Kufutiliwa mbali safari ya Trump mjini London
Jan 12, 2018 09:49Rais Donald Trump wa Marekani ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwamba amefutilia mbali safari yake ya nchini Uingereza.
-
Korea Kaskazini yatabiri kwamba Trump ataporomoka kisiasa mapema sana
Jan 12, 2018 04:26Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala nchini humo limemtabiria Rais Donald Trump wa Marekani kuporomoka kisiasa baada ya kuchapishwa kitabu cha 'Moto na Ghadhabu Ndani ya White House ya Trump' kilichoandikwa na Michael Wolff.
-
Wafungwa 11 wa jela ya Guantanamo wawasilisha mashitaka dhidi ya Trump
Jan 12, 2018 01:12Wafungwa 11 Waislamu wanaozuiliwa katika jela ya kutisha ya Guantanamno, wamewasilisha mashitaka yao dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Hatimaye Donald Trump akubali kupimwa akili
Jan 09, 2018 01:16Baada ya kuongezeka mashinikizo ya wananchi na vyombo vya habari vya Marekani, rais wa nchi hiyo, Donald Trump hatimaye amekubali kupimwa akili ili iweze kujulikana iwapo yuko salama kiakili au la.
-
Shaka na wasiwasi kuhusu uzima na utimamu wa akili wa Trump
Jan 08, 2018 04:23Gumzo na mijadala kuhusu uzima wa akili wa Rais wa Marekani sasa imegeuka kuwa maudhui muhimu inayozungumziwa ndani na nje ya nchi hiyo.
-
Trump acharuka baada ya kuenea habari kuwa hana akili timamu, ajibu tuhuma
Jan 06, 2018 23:14Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali kufuatia kuenea habari zinazotia shaka usalama wa akili yake.