-
Mwandishi: Kitabu cha 'Moto na Ghadhabu' kinalipigilia msumari wa mwisho jeneza la urais wa Trump
Jan 06, 2018 13:15Mwandishi wa kitabu kilichochapishwa hivi karibuni ambacho kinabainisha kila kitu kuhusu mwaka wa mwanzo uongozini wa Rais Donald Trump wa Marekani amesema, yaliyoelezwa ndani ya kitabu hicho kuhusu Trump katika Ikulu ya White House yana muelekeo mkubwa wa kuhitimisha urais wake.
-
Wamarekani wapanga foleni ndefu kununua kitabu kinachomshambulia Trump
Jan 05, 2018 23:30Shirika la habari la Associated Press la nchini Marekani limetangaza habari inayosema kuwa wananchi wengi wa nchi hiyo wamepanga foleni ndefu wakisubiri kwa hamu kununua kitabu kinachomshambulia rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Trump amjibu kiongozi wa Korea Kaskazini: Mimi pia ninacho kitufe cha nyuklia, lakini ni kikubwa zaidi na kina nguvu zaidi
Jan 03, 2018 23:04Rais Donald Trump wa Marekani ametoa kitisho tena cha kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi
Jan 03, 2018 11:59Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametoa jibu kwa kitisho kilichotolewa na rais wa Marekani cha kukata msaada wa fedha wa dola milioni 300 unaotolewa na nchi hiyo kwa Wapalestina kwa kusisitiza kwamba Quds si kitu cha kuuzwa kwa pesa.
-
Ripoti: Trump amesema uwongo mara elfu 2 ndani ya siku 347
Jan 02, 2018 11:25Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la The Washington Post imesema Rais Donald Trump wa Marekani amesema urongo karibu mara elfu mbili ndani ya siku 347 alizohudumu ndani ya Ikulu ya White House.
-
Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu
Dec 31, 2017 00:00Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesisitiza kuwa, ulilmwengu unapaswa kufahamu kuwa, Quds Tukufu (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina.
-
Mbunge wa Democratic nchini Marekani asema Trump ni tapeli
Dec 28, 2017 04:14Mbunge wa chama cha Democrats nchini Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni mtu tapeli na laghai.
-
Makumi ya waandishi wa habari wajeruhiwa wakiripoti kadhia ya Quds, Palestina
Dec 27, 2017 12:23Wanajeshi makatili wa Kizayuni ambao wanaikalia kwa mabavu Quds Tukufu yenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu wamewashambulia na kuwajeruhiwa waandishi wa habari zaidi ya mia moja tangu lilipozuka wimbi la kulalamikia uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani
Dec 26, 2017 23:12Gazeti la Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa mwaka huu wa 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea udikteta na uchoyo na kudhoofika zaidi uongozi wa Marekani.
-
Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani
Dec 26, 2017 11:18Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani, John Kasich amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump na viongozi wengine wa nchi hiyo dhidi ya Korea Kaskazini.