-
Trump angalau ona aibu; mwanafunzi aliyebaki hai Stoneman Douglas amwambia rais wa Marekani
Feb 18, 2018 23:34Mwanafunzi wa skuli ya sekondari ya Stoneman Douglas huko Parkland, katika jimbo la Florida nchini Marekani ambayo hivi karibuni ilishuhudia bahari ya damu baada ya kijana wa miaka 19 kuivamia skuli hiyo na kufanya mauaji ya kutisha, amemtaka rais wa Marekani, Donald Trump, aone haya na ajiheshimu.
-
Gazeti lafichua: Trump alikuwa na uhusiano haramu na mwanamitindo wa jarida la picha za ngono
Feb 17, 2018 23:42Gazeti la New Yorker la nchini Marekani limefichua kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump aliwahi kuwa na uhusiano haramu wa kingono kwa muda wa miezi tisa na mwanamke mmoja mwanamtindo wa jarida la picha za ngono.
-
Carl Bernstein: Marekani haijawahi kuwa na Rais mwongo kama Donald Trump
Feb 12, 2018 23:27Carl Bernstein, mwandishi wa habari wa Kimarekani amesema kuwa, katika historia yake Marekani haijawi kuwa na Rais mwongo kama Donald Trump.
-
Wabunge wa Marekani wamtaka Trump aendelee kuipatia misaada UNRWA
Feb 12, 2018 11:22Wawakilishi 102 wa chama cha Democrat nchini Marekani wamemuandikia barua Rais wa nchi hiyo wakimtaka asikate misaada ya kifedha kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
Wapalestina na siasa za kinyama za Donald Trump
Feb 09, 2018 03:11Marekani imeshurutisha suala la kuanza tena kutoa msaada kwa Wakala wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Wakimbizi wa Palesrina (UNRWA) kwa mambo ambayo yanakinzana na maslahi ya Wapalestina.
-
Wademocrat waliotuhumiwa na Trump kuwa ni wahaini wachukizwa na matamshi hayo
Feb 06, 2018 23:04Viongozi wa chama cha Democrat nchini Marekani, wamekosoa matamshi ya Rais Donald Trump aliyewataja kuwa ni wahaini na kusema kuwa, rais huyo anafuata mienendo ya udikteta.
-
China yapinga stratijia mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia
Feb 05, 2018 23:15Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amesema nchi yake inapinga stratijia ya mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia iliyotangazwa Ijumaa
-
Trump na ungamo la udhaifu wa jeshi la Marekani
Feb 03, 2018 00:08Rais wa Marekani Donald Trump ameungama na kukiri hadharani kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu na ametaka wizara ya ulinzi, Pentagon, itengewe fedha nyingi zaidi.
-
Amri ya Trump ya kuendelea shughuli za gereza linalonuka kwa ubaya la Guantanamo
Feb 01, 2018 23:29Baada ya kupita masaa machache tu tangu Donald Trump atoe hotuba yake ya kila mwaka mbele ya Kongresi, rais huyo wa Marekani ametoa amri jela inayonuka kwa ubaya ya Guantanamo iendelee na shughuli zake.
-
Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati
Feb 01, 2018 07:50Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema suluhisho la kuundwa nchi mbili kwa ajili ya mgogoro wa Mashariki ya Kati halina chaguo jengine mbadala la kisiasa lenye itibari na la kudumu.