Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mwandishi: Kitabu cha 'Moto na Ghadhabu' kinalipigilia msumari wa mwisho jeneza la urais wa Trump

    Mwandishi: Kitabu cha 'Moto na Ghadhabu' kinalipigilia msumari wa mwisho jeneza la urais wa Trump

    Jan 06, 2018 13:15

    Mwandishi wa kitabu kilichochapishwa hivi karibuni ambacho kinabainisha kila kitu kuhusu mwaka wa mwanzo uongozini wa Rais Donald Trump wa Marekani amesema, yaliyoelezwa ndani ya kitabu hicho kuhusu Trump katika Ikulu ya White House yana muelekeo mkubwa wa kuhitimisha urais wake.

  • Wamarekani wapanga foleni ndefu kununua kitabu kinachomshambulia Trump

    Wamarekani wapanga foleni ndefu kununua kitabu kinachomshambulia Trump

    Jan 05, 2018 23:30

    Shirika la habari la Associated Press la nchini Marekani limetangaza habari inayosema kuwa wananchi wengi wa nchi hiyo wamepanga foleni ndefu wakisubiri kwa hamu kununua kitabu kinachomshambulia rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Trump amjibu kiongozi wa Korea Kaskazini: Mimi pia ninacho kitufe cha nyuklia, lakini ni kikubwa zaidi na kina nguvu zaidi

    Trump amjibu kiongozi wa Korea Kaskazini: Mimi pia ninacho kitufe cha nyuklia, lakini ni kikubwa zaidi na kina nguvu zaidi

    Jan 03, 2018 23:04

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa kitisho tena cha kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Jan 03, 2018 11:59

    Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametoa jibu kwa kitisho kilichotolewa na rais wa Marekani cha kukata msaada wa fedha wa dola milioni 300 unaotolewa na nchi hiyo kwa Wapalestina kwa kusisitiza kwamba Quds si kitu cha kuuzwa kwa pesa.

  • Ripoti: Trump amesema uwongo mara elfu 2 ndani ya siku 347

    Ripoti: Trump amesema uwongo mara elfu 2 ndani ya siku 347

    Jan 02, 2018 11:25

    Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la The Washington Post imesema Rais Donald Trump wa Marekani amesema urongo karibu mara elfu mbili ndani ya siku 347 alizohudumu ndani ya Ikulu ya White House.

  • Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Dec 31, 2017 00:00

    Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesisitiza kuwa, ulilmwengu unapaswa kufahamu kuwa, Quds Tukufu (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina.

  • Mbunge wa Democratic nchini Marekani asema Trump ni tapeli

    Mbunge wa Democratic nchini Marekani asema Trump ni tapeli

    Dec 28, 2017 04:14

    Mbunge wa chama cha Democrats nchini Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni mtu tapeli na laghai.

  • Makumi ya waandishi wa habari wajeruhiwa wakiripoti kadhia ya Quds, Palestina

    Makumi ya waandishi wa habari wajeruhiwa wakiripoti kadhia ya Quds, Palestina

    Dec 27, 2017 12:23

    Wanajeshi makatili wa Kizayuni ambao wanaikalia kwa mabavu Quds Tukufu yenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu wamewashambulia na kuwajeruhiwa waandishi wa habari zaidi ya mia moja tangu lilipozuka wimbi la kulalamikia uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani

    The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani

    Dec 26, 2017 23:12

    Gazeti la Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa mwaka huu wa 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea udikteta na uchoyo na kudhoofika zaidi uongozi wa Marekani.

  • Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani

    Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani

    Dec 26, 2017 11:18

    Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani, John Kasich amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump na viongozi wengine wa nchi hiyo dhidi ya Korea Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS