Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 04, 2017 03:45

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.

  • Malalamiko ya ndani na nje dhidi ya marufuku ya safari kwenda Marekani

    Malalamiko ya ndani na nje dhidi ya marufuku ya safari kwenda Marekani

    Jul 02, 2017 08:59

    Zikiwa zimepita saa chache tangu kuanza kutekelezwa amri ya marufuku ya kufanya safari kwenda Marekani inayowahusu raia wa nchi sita za Waislamu, malalamiko na maandamano ya kupinga ubaguzi huo vinaendelea kushuhudiwa ndani na nje ya nchi hiyo.

  • Wademokrat wa Marekani waanza mchakato wa kumng'oa madarakani Donald Trump

    Wademokrat wa Marekani waanza mchakato wa kumng'oa madarakani Donald Trump

    Jul 02, 2017 03:01

    Kundi moja la Wademokrat katika Bunge la Marekani limeanzisha mchakato wa kumuuzulu Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kutokana na mtatizo ya kiakili na kinafsi.

  • Maandamano dhidi ya marufuku ya Trump kwa wahajiri yafanyika Marekani

    Maandamano dhidi ya marufuku ya Trump kwa wahajiri yafanyika Marekani

    Jun 30, 2017 03:06

    Wananchi wa Marekani wanaopinga utekelezaji wa amri iliyotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo inayowapiga marufuku raia wa nchi sita zenye idadi kubwa ya Waislamu kuingia Marekani, waliandamana jana katika mitaa ya New York na Los Angeles.

  • Kupungua imani ya kimataifa kwa Marekani ya Trump

    Kupungua imani ya kimataifa kwa Marekani ya Trump

    Jun 28, 2017 06:34

    Katika hali ambayo ni miezi mitano tu imepita tokea Donald Trump achukue usukani wa urais wa Marekani kiwango cha imani ya walimwengu kwa serikali ya nchi hiyo kimepungua sana.

  • Iran yalaani uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani dhidi ya Waislamu

    Iran yalaani uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani dhidi ya Waislamu

    Jun 27, 2017 22:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Marekani dhidi ya Waislamu na kusema kuwa, kutokana na mitazamo yake finyu ya kibiashara, Washington imefumbia jicho wasababishaji halisi wa ugaidi nchini Marekani na kutoa ujumbe usiofaa.

  • Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron

    Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron

    Jun 26, 2017 11:34

    Gazeti la New York Times limefichua hitilafu zilizopo kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo Rex Tillerson kuhusu mvutano uliopo kati ya Saudi Arabia na Qatar.

  • Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 19, 2017 08:10

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumapili alikutana mjini Tehran na familia za mashahidi walinzi wa Haram Takatifu na vikosi vya usalama vinavyolinda mipaka ya nchi na kusisitiza umuhimu wa mashahidi katika uhai wa Iran.

  • Trump na maonyesho ya kusimama kidete mbele ya Cuba

    Trump na maonyesho ya kusimama kidete mbele ya Cuba

    Jun 17, 2017 23:20

    Rais Donald Trump wa Marekani amefuta sehemu ya mapatano yaliyofikiwa kati ya Washington na Havana wakati wa utawala wa Rais Barack Obama ikiwa ni katika juhudi za kutekeleza ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi.

  • AI yakosoa vikali siasa za Marekani kuhusu wahajiri

    AI yakosoa vikali siasa za Marekani kuhusu wahajiri

    Jun 15, 2017 23:54

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali siasa za Rais wa Marekani kuhusu wahajiri na wakimbizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS